TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,345
- 859
JPM
Eti hawajawahi kushinda!!
SASA kama hawajawahi kushinda mbona ndio huwa wanaapishwa na kuingia Ikulu?
kura anatangaza mtu mmoja tu ingawa wanapiga wengi ..ahahhahahahaHao ni wapiga kura ni
wanahamasa na ni vijana ambao wanajaki ya kwenda kusikila kinacho nadiwa kwa maslahi mapana ya faida yao kama kizazi konachofata kumuka wapiga kura ni million 29 na kati ya hao 15million ni vijana.
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.Huku kwetu vijijini huyo mgombea wa CDM hawamjui hata kifogo. Zaidi ya 95% huku kwetu wanamkubali sana JPM. Suala la Corona limempa heshima kubwa sana JPM.
Naamini ushindi wa mwaka huu kwa JPM utakuwa ni Kimbunga. Hata CDM wenyewe kwa upande wa Rais wamesema watampa kura JPM.
Ukiangalia Kwa macho unaweza kusema ccm itashinda lakini ukitazama Kwa jicho ia moyoni (wengine wanafahamu) ushindi unaweza kwenda Chadema.Umeona wapi watu wanakuwa na bashasha kila mahali aendapo mgombea?Umeona wapi Chama kilichotekeleza ilani Kwa ufasaha kinatumia nguvu kubwa kuliko Chama ambacho hakijawahi kushoka dola?Kuna kitu hapo kisochoeleweka tuombe tu Mapenzi ya Mungu yatimizweSababu zipo nyingi sina ila mimi nakupa dalili chache tu :-
1. Mkurugenzi wa uchaguzi umemsikia leo akimfanyia kampeni Magufuli? Hii ni moja ya dalili kama kuna kila dalili cdm kushinda uchaguzi huu, mkurugenzi amefanya jambo ambalo kwa akili za kawaida halikutakiwa kutokea,wasomi wanasema mkurugenzi wa uchaguzi amepanic au anaweweseka...
Dah!? Mkuu usiwafanye wat wakauelewa upeo wa fikra zakoMoja kwa moja hojani,
Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+...
KUMBUKA KATIKA HAO UNAO WASEMA TAYARI WAMEUMIZWA NA AWAMU HII YA TANOHapa inabidi mseme ni kwa njia zipi mtatumia kushinda
Mfano: Ccm inawanachama 14.million na wapiga kura ni milioni 29 sasa . kwahiyo tayari tunakula 14m kabla ya kampeni .
Je chadema mmnatumia kigezo gani ?
Fanya wote 4m watasaliti, hao 10m ni ushindi tayari mkuuKUMBUKA KATIKA HAO UNAO WASEMA TAYARI WAMEUMIZWA NA AWAMU HII YA TANO
Shombe la Kisomali Ajira nilizokuwa nimekutabiria si umeziona??? Chagua CCM Chagua JPM chagua Maendeleo.Twende na JPMTundu Lissu lazima nikupigie kura na lazima ushinde, hatutakuangusha.
Rais ujaye
Daah, ni sheeda!!😂Huyu dada bwana Ila acha nisiongee mengi.
Shida ni chamaaa.....au watu walioko huko?Imefika tu mahali na watu Wanachoka
We miaka 59 yote waongoze wao!!🙄
View attachment 1583851
Wapiga kura wa CCM wakielekea samora
CCM inakatisha masomo wanafunzi na kuwavalisha hayo majezi ya kijani
Kwani CCM watatumia kigezo gani kusema wameshinda!?Moja kwa moja hojani,
Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+...
Hahaha,Kwasababu mavuvuzela wanashinda kwenye mitandao ya kijamii wanasema kuwa Lissu atashinda, haijalishi msemaji ana akaunti ngapi JF, Tweeter, Facebook nk,
Labda wamepata wanachama wapya kwenye hii miaka mitano ya "upya" wao.kama ina wanachama 14M+ ilikuwaje 2015 CCM ikapata kura 8M na upinzani ukapata 6M?