mwakirobert1
Senior Member
- Sep 21, 2020
- 160
- 76
Unawezaje kuamini watu wanaochoma ofisi zao wenyewe na kusingizia wengine?Sababu kubwa ni kuchokwa kwa jiwe, Watu hawapendi kutekana ,kuuana
Watu wanao uwa vijana kisa tu wana muitikio na kuogopa kuwa watakuwa kikwazo.