mjerumaniwapahi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2014
- 337
- 224
Ushaambiwa waombe mungu na huyo fisiemuKwa hiyo vijana ambao hawaja ajiriwa ni wajinga?
Ushaambiwa waombe mungu na huyo fisiemuKwa hiyo vijana ambao hawaja ajiriwa ni wajinga?
Kwa hiyo vijana ambao hawaja ajiriwa ni wajinga?
Akili zenu 24hours zinawaza CHADEMA tuKwaio chadema unaweza kuajir wahitim wote? Au mnataka mtumie matatizo Yao kujinufaisha?
Hayo matatizo si mmeyaleta nyie? Employment rate kwenye awamu ya tano ni ndogo sana tangu nchi hii ipate uhuru.Kwaio chadema unaweza kuajir wahitim wote? Au mnataka mtumie matatizo Yao kujinufaisha?
Unajua mbowe toka ameingia kwenye wenyekit ni miaka mingap angepisha wenzake nawenyewe wakapata ajira ungekua sawa kwa unayo YASEMA kingine Sio watu Wana Hali ngum sema nyie mnao tegemea siasa ili mle Hali mgum itakua Sana upande wenu sababu upepo umevumia kwingine
Alafu kakwambia Nan kua Kuna kiongozi wa kisiasa anaweza kubadilisha maisha ya raia wa kawaida kwa siasa zake
Maisha ya mtanzania yanabadilishwa kwa miundo mbinu Sio kiongoz kukuletea hela
Mmeajiri wangapi kati ya wangapi? Unajua maana ya employment rate?Kwaio chadema unaweza kuajir wahitim wote? Au mnataka mtumie matatizo Yao kujinufaisha?
Hayo matatizo si mmeyaleta nyie? Employment rate kwenye awamu ya tano ni ndogo sana tangu nchi hii ipate uhuru.
Uongozi mbovu ndio chanzo cha haya.
Ivi ni tallest mountain au highest?Et makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
Ila tambua pia raia sio wajinga. Wanaangaloa upingaji wako.
Hawatakag kujua hiloKupinga tu hata kama umepita kwenye interchange ubungo ambayo itarahisisha usafiri?
We unafikiri kuanzisha viwanda ni kuamka tu na kuweka kama unavyotaka au unataka serikali ndo ianzishe viwanda vyote kama ilivyokuwa wakati was nyerere( centralized economy ambayo ilifail kwa kukosa efficiency) sasa hivi tuko new age serikali inaweka mazingira bora sekta binafsi wanaanzisha(liberal economy ndio Inaweza kuwork kwa sasa).Nikweli sio wajinga
Wamejazana mitaani .....Engineers, economist, teachers, doctors, geologists etc No Employment
2. CCM imetangaza maelfu ya viwanda ...cha ajabu mitaani hayaonekani... Enzi ya hayati Mwl Nyerere tuliona viwanda
1. Vya nguo ,(mwatex, sungura, urafiki, mbeya textile nk
2. Vya mbolea,
3.chuma,
4. Plastics- amboni
5. Mkonge,
6. Usafiri uda, tazara, trc nk
Tutasubiria tuone ujinga wao.
Ni vizuri sana.Et makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
We unafikiri kuanzisha viwanda ni kuamka tu na kuweka kama unavyotaka au unataka serikali ndo ianzishe viwanda vyote kama ilivyokuwa wakati was nyerere( centralized economy ambayo ilifail kwa kukosa efficiency) sasa hivi tuko new age serikali inaweka mazingira bora sekta binafsi wanaanzisha(liberal economy ndio Inaweza kuwork kwa sasa).
USHAURI:Acha kubweteka Fanya kazi au tafuta mtaji uanzishe wewe kiwanda. Serikali itaajiri wangapi?
Una stress za maisha acha uvivu ufanye kazi la sivyo utakufa maskini ukiwatumainia wanasiasa wakupe ajira akili za matopeni kabisa.Akili zako ni very primitive hustahili kujibiwa kama mtu mwenye akili.
1. Unadhani kila ndege moja ingejenga viwanda vingapi? (Kwanini tukawekeza kwenye madege ilhali Fasta jet na prescision walikuwepo)
2. Viwanda
Jenga mazingira bora na sahihi ili uwavutie wawekezaji watawekeza kwenye
A) madini
B) kilimo
C) uendashaji na usafirishaji
D) utengenezaji nk
Mazingira bora yapi? yatajeAkili zako ni very primitive hustahili kujibiwa kama mtu mwenye akili.
1. Unadhani kila ndege moja ingejenga viwanda vingapi? (Kwanini tukawekeza kwenye madege ilhali Fasta jet na prescision walikuwepo)
2. Viwanda
Jenga mazingira bora na sahihi ili uwavutie wawekezaji watawekeza kwenye
A) madini
B) kilimo
C) uendashaji na usafirishaji
D) utengenezaji nk
Una stress za maisha acha uvivu ufanye kazi la sivyo utakufa maskini ukiwatumainia wanasiasa wakupe ajira akili za matopeni kabisa.