Mazingira bora yapi? yataje
Zero brain.
Mazingira bora yapi? yataje
The Main Point ya kuangazia hapa sio Siasa za Maneno wanazofanya Wapinzani wakubali kuwa CCM This time wamefanya kazi na wametekeleza Ilani kwa Mapana makubwa kiasi hakuna cha kuzungumzia zaidi zitainuka Agenda kama hizi za matukio yanayozungumzwa na Upinzani.Tukutane October ndipo wataelewa CCM inafanya kazi vipi na imeeleweka kwa kiasi gani katika Jamii.Et makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
Akili zako ni very primitive hustahili kujibiwa kama mtu mwenye akili.
1. Unadhani kila ndege moja ingejenga viwanda vingapi? (Kwanini tukawekeza kwenye madege ilhali Fasta jet na prescision walikuwepo)
2. Viwanda
Jenga mazingira bora na sahihi ili uwavutie wawekezaji watawekeza kwenye
A) madini
B) kilimo
C) uendashaji na usafirishaji
D) utengenezaji nk
Bahati mbaya unaongea na mtu ambaye nipo fully on myself na am contented
Mtu ambaye yuko fully haanzishi personal attack kwa mtu anaetoa maoni yake, unastress whether you admit it or not and you immediately need to visit a psychologist for your mental and psychological health.Zero brain.
Buji ukiweza hizi post za LMb7 zipotezee.. Zinawekwa hapa kwa lengo maalum... Zikikosa wachangiaji zitakufa natural deathHivi ndege zetu zinaanza lini kurudisha hela?
Migodi yetu inatija?
Mikutano ya hadhara inakusaidia nini? Think kuijenga nchi hasa kwa mapana ya mtu mmoja mmoja leo kila mtu akihutubia nakutoa speech nchi itajengwa saa ngapi? Lazima ujitazame ni nini hasa na kipi unahitaji kujenga nchi yako na sio mawazo yanayokinzana na maendeleo kwa Agenda dhaifu kama hii.Kama hakuna cha kuongea mbona sasa hamruhusu mikutano ya hadhara??
Mistari ya mwisho kabisa nakuunga mkono babaEt makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
Halafu fala mmoja, fala tu, anajiita The Icebreaker, analalamika eti nalamba viatu vyako, Sasa leo nataka atoke lijipovu, mpaka akome, asipotoa viatu vyake nivilambe hadi vipungue size, Basi ana matatizo makubwa mno, hasa ya kinguvu za kihisiaBuji ukiweza hizi post za LMb7 zipotezee.. Zinawekwa hapa kwa lengo maalum... Zikikosa wachangiaji zitakufa natural death
Jr
Kwahiyo zile nchi zilizoendelea huwa hakuna vyama vyenye sera mbadala aka vya upinzani?Et makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
kwa hiyo mnataka sera za chadema ziwe sawa na mboga mboga, mboga mboga wana zao na chadema wana zao, act wana zao, haziwezi lingana hata siku 1, kwa hiyo mnataka mlazimishe na chadema watoe fomu 1 tu ya uraisi ili wengine wasichukue,Unajua mbowe toka ameingia kwenye wenyekit ni miaka mingap angepisha wenzake nawenyewe wakapata ajira ungekua sawa kwa unayo YASEMA kingine Sio watu Wana Hali ngum sema nyie mnao tegemea siasa ili mle Hali mgum itakua Sana upande wenu sababu upepo umevumia kwingine
Alafu kakwambia Nan kua Kuna kiongozi wa kisiasa anaweza kubadilisha maisha ya raia wa kawaida kwa siasa zake
Maisha ya mtanzania yanabadilishwa kwa miundo mbinu Sio kiongoz kukuletea hela
IQ yako iko below normal,ndio maana hata unachokiandika hakieleweki,Halafu fala mmoja, fala tu, anajiita The Icebreaker, analalamika eti nalamba viatu vyako, Sasa leo nataka atoke lijipovu, mpaka akome, asipotoa viatu vyake nivilambe hadi vipungue size, Basi ana matatizo makubwa mno, hasa ya kinguvu za kihisia
Haha haha haaaaaaa unanichekesha Sana, wewe ni kiburudisho changu. Endelea na burudaniIQ yako iko below normal,ndio maana hata unachokiandika hakieleweki,
Kumbe siku ile dawa ilikuingia kisawa sawa eeh! na hiyo ndio faraja yangu,maana naona kila ukikaa jina langu linakuijia akilini mwako,sasa tulia niendelee na dozi,utapona tu huo uzezeta,
Endelea tu kumfuata nyuma huyo unayemlamba viatu na vistory vyake vyakusadikika vya wagagagikoko na mfalme juha.
ukiondoa dar es salaam hamna mkoa uliopo vizuri tanzania hii kama kilimanjaro njanja zote tangu enzi za mwalimuEt makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
Inasikitisha kuona mwana Jamiiforums mwenzetu ana akili finyu kama baadhi yetu hapa. Hivo raisi ni wa kujisifia kununua ndege au kuchimba kisima au kujenga shule au kujenga barabara au mwendo kasi ?. Jamani kuweni na akili za kupambanua baina ya wajibu wa raisi na wajibu wa serikali na taasisi zake. Ninashangaa sana kuwa baada miaka 58 ya UHURU bado tunamsifu raisi kupeleka umeme vijijini. Kuna wizara husika zunazotakiwa kufanya kazi hizo. Maana ya wizara husika ni kwa ajili ya kutekeleza mambo hayo. Iko haja ya kupata katiba mpya ambayo itaeleza kinaga ubaga nini kazi ya raisi wa tanzania na ni nini kazi ya mawaziri na mipaka ya uwajibikaji inaishia wapi. Tanzania ni vurugu tu. Mwenye mamlaka hajulikani nani. Suala la Corona, raisi ameingilia mambo ya wizara kiasi kwamba waziri husika anajiona hana maana na kuufyata. Ni watu wasio jielewa wanaendesha nchi kama gari bovu na maadamu gari linakwenda hata tukienda msituni tunamsifu dereva kwa kujua kuendesha japokuwa tumeingia msituni.Et makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
Et makamanda mfano wewe ndio MBOWE au zitto au viongozi wengine wote wa upinzan kwenye kampen mtawaambia Nini wananch ili wawachague Tena?
Mana sera zote muhim Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serekal ime muua akwelina
Au serekal imempiga risas tundulisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vip mtaweza kuikosoa serekal wakat mwenyekit wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serekal iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananch Serekal haikufunga Lock down? Nawashaur msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
Niliandaa kujibu, lakini nimegundua kumbe una lengo la kuwakejeli wapigania demokrasia na maendeleo ya kweli. bahati mbaya hata uandishi hujui kwa sababu kuna makosa mengi mno kwa ulichoandika. Inafahamika kuna watu wanalipwa ili kuwakejeli wengine.