Hahahahahahaaaaa
Naomba unichagulie na mimi jina nimsevu naniliuu
Twende kule ukachague kwanzaNaomba unichagulie na mimi jina nimsevu naniliuu
Sawa nakujaTwende kule ukachague kwanza
Siku hizi hatusave ni mwendo wa kumezaa namba tu
Daaah alafu hao watu walitusaidia sana yaani mchepuko unakutext baby kesho tunatoka out uko sebureni utakavyotukana jinsi jamaa wanavyobuni namba ..Msg ikikutwa unasema ah hawa watakua wale wanaokoseaga nambasas usiombe msg iwe na jina lako.
Ndo mana mi siku izi nikiandika msg namtaja na jina ili hata akiwa anajitetea huko asiseme msg imekosewa,inakosewaje na jina!
Hahaha weee msg ikiwa na jina hata jins ya kujitetea inashindikanakama mi huwezi niambia et kaangalia mpesanakwambia patageuka mererani,patachimbika bila jembeDaaah alafu hao watu walitusaidia sana yaani mchepuko unakutext baby kesho tunatoka out uko sebureni utakavyotukana jinsi jamaa wanavyobuni namba ..
Jina si ntasingizia kaangalia kwenye miamala ya pesa kama ni tigopesa ua mpesa
Weeee sikia unaisoma kwanza na kuimeza huku ukiwaza kuitendea kazi alafu sasa matusi utakayoporomosha hapo kwa mama la mama ...utasikia vyuma vimekaza kweli mpaka huyu mpumbavu sijui nani anafowad sms ....ngoja nizifute sitak ujinga mmHahaha weee msg ikiwa na jina hata jins ya kujitetea inashindikanakama mi huwezi niambia et kaangalia mpesanakwambia patageuka mererani,patachimbika bila jembe
Daddy is coming ?Daddy