Sawa da ummyNdo mfumo mpya tujipe muda kidogo pengine watafanya vizuri.
Mara nyingi idara za serikali hawajibu e-mails.
Ni danganya toto tu, kwenye tehama hamnaga true privacy and anonymity.Iko sehemu ambayo inakuruhusu kutuma bila kutambulika wewe ni nani, so unatupa bomu lako then unasepa unawaacha wanahangaika lkn upande wako umewapa ukweli