Katung'a
Member
- Jul 2, 2015
- 38
- 19
Serikali kupitia wizara ya utumishi wa umma imezindua mfumo wa kuwasilisha malalamiko, pongezi na ushauri kwa njia ya kieletroniki.
Wadau najiuliza mfumo utasaidia kupunguza gharama za kufika maofisini kwa waliombali na makao makuu ya nchi?
Kweli wamezindua mfumo je watakua active kupokea na kufanyia kazi malalamiko ya watumishi na wananchi na kutoa mrejesho au ndo tunaendelea kuanzisha mambo tusio na uwezo nayo?
Karibu tujadili
Wadau najiuliza mfumo utasaidia kupunguza gharama za kufika maofisini kwa waliombali na makao makuu ya nchi?
Kweli wamezindua mfumo je watakua active kupokea na kufanyia kazi malalamiko ya watumishi na wananchi na kutoa mrejesho au ndo tunaendelea kuanzisha mambo tusio na uwezo nayo?
Karibu tujadili