Email account inafungwa! Msaada wa nini cha kufanya kuzuia isifungwe.

Kudasai

JF-Expert Member
Jan 1, 2016
204
231
Salaam kwenu wajuvi wa high technology! Mimi ninatumia gmail kwa muda usiopungua miaka 8. Nimetumiwa email kutoka gmail (verified) ikiniambia kuwa account yangu inafungwa mwishoni mwa March 2019. Sababu kubwa ya kuifunga Ni matumizi madogo ya account (low account use) yaani wao walinipa 15GB lakini mpaka sasa sijafikisha hata 3 GB! Je, Kuna yeyote aliyewahi kupata hii kadhia? Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kwanza nasikia kwako,ila mbona easy jaza hata picha music kwenye drive zao

mpuuzi mpuuzi tu
 
Mkuu itakuwa umechanganya. Ni GOOGLE+ ndio jamaa wana ipiga chini sababu imeachwa mbali na sana social network za sasa Facebook, Instagram nk.
Google+ imekuwa na users wachache so april wanai shutdown.
Sio Gmail.

SangaweJr
 
Google+ ndio inayofungwa sio account yako
Salaam kwenu wajuvi wa high technology! Mimi ninatumia gmail kwa muda usiopungua miaka 8. Nimetumiwa email kutoka gmail (verified) ikiniambia kuwa account yangu inafungwa mwishoni mwa March 2019. Sababu kubwa ya kuifunga Ni matumizi madogo ya account (low account use) yaani wao walinipa 15GB lakini mpaka sasa sijafikisha hata 3 GB! Je, Kuna yeyote aliyewahi kupata hii kadhia? Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu itakuwa umechanganya. Ni GOOGLE+ ndio jamaa wana ipiga chini sababu imeachwa mbali na sana social network za sasa Facebook, Instagram nk.
Google+ imekuwa na users wachache so april wanai shutdown.
Sio Gmail.

SangaweJr

Labda uko sahihi Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimeweka screenshot hapa
IMG_20190314_122929_990.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu itakuwa umechanganya. Ni GOOGLE+ ndio jamaa wana ipiga chini sababu imeachwa mbali na sana social network za sasa Facebook, Instagram nk.
Google+ imekuwa na users wachache so april wanai shutdown.
Sio Gmail.

SangaweJr
Aisee asante mtoa uzi huu,ngoja nikatoe document zangu.

Sent using Samsung Galaxy
 
Back
Top Bottom