Elvis Peter HR Assistant wa Alistair Group (Kurasini) acha roho mbaya

Status
Not open for further replies.
Huyo kaka namjua sana, ni bonge la boya flani hivi, niliwahi kufanya nae kazi yani ni kama mwanamke hivi, ila si yeye tu wafanyakazi wao wote wengi wako hivyo hasa hao wenye ngozi nyeusi
kwan wanalipwa sh ngap mpka wawe na dharau ivo..
 
nimesoma comments zako humu we dada.....unaoneka ulikua na ka GPA kako kazuri ukidhani katakupatia kazi. Sasa uko very disappointed. Nikushauri tu kitu kimoja kwamba wanaomaliza na GPA nzuri ni wengi na kinachotofautisha wewe na wao ni hayo maswali ya kijinga. Itabidi ukubali tu matokeo siku hizi kampuni binafsi haziajiri GPA bali wanaangalia approach towards issues kupitia maswali wanayouliza kupitia interview. kama vipi subiria ajira za serikali zinazoangalia GPA zenu uchwara.
 
Pole sana aisee hyo ya kukutana na HR kauzu nimewahi kukutana, aisee jamaa alikuwa kisirani ka yuko kwenye siku zake, nika mu check tu licha ya kujiropokea vibaya nikawa cool, at the end alikuja kujishtukia mwenyewe. Watu wenye arrogance behavior wako kila corner na wao hujiona wamefika mwisho wa maisha, kikubwa ni kutokasirika na kuchukulia hyo ka changamoto
 
Taja hayo maswali mkuu ili wadau wapate picha la sivyo inaonekana una stress zako za kukosa huo mchongo
 
Mnashindwa kujua role ya HR, wanaoajiri ni departmental heads, kazi ya HR ni ku facilitate tu lile zoezi. Sometimes unakuta tayari candidate ameshakuwa disqualified na wanaomtaka HR wanaonekana roho ngumu kwa kuuonyesha ule ukweli.
 
graduates wengi wanaamini h.r ndio kila kitu.. hawajui anaechagua nani apate kazi sio h.r kama huyo mtu sio wa dept yake..

head of department ndie anaechagua nani anamtaka

Mnashindwa kujua role ya HR, wanaoajiri ni departmental heads, kazi ya HR ni ku facilitate tu lile zoezi. Sometimes unakuta tayari candidate ameshakuwa disqualified na wanaomtaka HR wanaonekana roho ngumu kwa kuuonyesha ule ukweli.
 
Pole sana aisee hyo ya kukutana na HR kauzu nimewahi kukutana, aisee jamaa alikuwa kisirani ka yuko kwenye siku zake, nika mu check tu licha ya kujiropokea vibaya nikawa cool, at the end alikuja kujishtukia mwenyewe. Watu wenye arrogance behavior wako kila corner na wao hujiona wamefika mwisho wa maisha, kikubwa ni kutokasirika na kuchukulia hyo ka changamoto
bora ww umenielewaa ndugu yangu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom