Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,609
- 3,341
Mfano jamaa akitoa msaada kwa kila mtu wealth ya 1B $ bado atakuwa tajiri namba moja duniani na wewe hali uliyonayo utabaki nayo hivyo hivyo kwa kuwa tutakuwa tume add 1 kwa kila mtu .
Kwa hiyo jamaa kamzidi hadi anaye print hela?
Watu wakati wanajifunza hesabu wewe ulikua unamchora mwalimu hayo ndo matokeo yakeMfano jamaa akitoa msaada kwa kila mtu wealth ya 1B $ bado atakuwa tajiri namba moja duniani na wewe hali uliyonayo utabaki nayo hivyo hivyo kwa kuwa tutakuwa tume add 1 kwa kila mtu .
View attachment 2019112
Kua serious basiMfano jamaa akitoa msaada kwa kila mtu wealth ya 1B $ bado atakuwa tajiri namba moja duniani na wewe hali uliyonayo utabaki nayo hivyo hivyo kwa kuwa tutakuwa tume add 1 kwa kila mtu .
View attachment 2019112
Ujue huyu dogo yupo mwaka wa 3 chuo kikuu anachukua digrii ya uchumi.We jamaa na wasi wasi na uwezo wako wa hesabu Au bado uko la tatu C unajifunza hesabu za kujumlisha na kutoa kila mtu Ampe billion moja $ watu wapo Billion 7.6 hizo pesa zitawatosha Watu 300 tu wa mwanzo
amaa kweli hesabu bado ni tatizo la taifaAkigawa kila mtu duniani atapata TSH 90,000/=
Na yeye atabaki na TSH Trillion 6!
Kama ndio anasoma uchumi sishangai anaweza kuwa ni wa chama kileeUjue huyu dogo yupo mwaka wa 3 chuo kikuu anachukua digrii ya uchumi.
Hahaha 😁 daaah hatar sanaa kama mwana uchumi ndo huyo bas tumepigwa na kitu kizitoUjue huyu dogo yupo mwaka wa 3 chuo kikuu anachukua digrii ya uchumi.
Unapata kama Dola 39.47!Kama 90,000/ na ushee!Huo ushee ukimrudishia mwenyewe anakuwa na Trillion 6 TSH!Bongo walimu wengii, usiombe ukosee, utapewa za uso halafu hakuna hata aliyejaribu kurekebisha au kuonesha ilitakiwa hesabu iweje. Nchi ngumu sana hii....
Kwa hiyo ilitakiwa iwe hivi
300$ B / 7.6 B au sio? Enhee!?
Unapata kama Dola 39.47!Kama 90,000/ na ushee!Huo ushee ukimrudishia mwenyewe anakuwa na Trillion 6 TSH!