Elon Musk na Falsafa ya hapa Kazi tu

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,395
3,897
FB_IMG_1620476384502.jpg
 
Sababu ya kuitwa ^lucky^ pengine ni kwa vile anatumia muda mwingi sanaaaaa kuliko kawaida wakati kuna watu Bongo anapokea mishahara ya watumishi senior 17 na wala hata hashindi ofisini zaidi ya 3 to 4 hours. Aliyesema ^Mtanikumbuka kwa mema^ aliona mbali sana.
 
Sababu ya kuitwa ^lucky^ pengine ni kwa vile anatumia muda mwingi sanaaaaa kuliko kawaida wakati kuna watu Bongo anapokea mishahara ya watumishi senior 17 na wala hata hashindi ofisini zaidi ya 3 to 4 hours. Aliyesema ^Mtanikumbuka kwa mema^ aliona mbali sana.
Acha kufananisha Musk na washamba wewe
 
Uwe na akili sasa fanya kazi halafu kichwani empty mbona kitaumana..😂
 
Vibarua bongo wanafanya kazi masaa 14 7days a week.
Na bado wanakula buku 4 kwa siku

Elon, you are lucky bro
 
Sababu ya kuitwa ^lucky^ pengine ni kwa vile anatumia muda mwingi sanaaaaa kuliko kawaida wakati kuna watu Bongo anapokea mishahara ya watumishi senior 17 na wala hata hashindi ofisini zaidi ya 3 to 4 hours. Aliyesema ^Mtanikumbuka kwa mema^ aliona mbali sana.
Kufanya Kazi masaa mengi sio kipato.
Ingekuwa hivyo walinzi na makondakta wangekuwa bilionea.
 
Mimi nalima masaa 8 nafanya biashara masaa 6 kazi zingine masaa 4 hivyo jumla masaa 18 na kusema hivyo nimemupiku Elon harafu bado nakosa hata hela ya bando.
Elon una bahati sana najua upo humu na unanisikia.
 
Back
Top Bottom