Elon Musk ataka WFP waeleze namna watakavyopambana na njaa kwa Dola Bilioni 6

Jamaa ana mambo mengi sana mara Space X mara gari za umeme mara boring company mara artificial intelligence mara degocoin.......
sasa mm najiuliza na kazi yangu ya ukarani
mshahara mmoja.........
Hv naishi ulimwengu mmoja na huyu jamaa!!?
... umenikumbusha nyimbo moja ya zamani ikiimbwa "messenger ameleta balaa nyumbani kwa meneja"! Ukiwa mtu wa chini (karani) na mambo yako yanakuwa ya dizaini hiyo (kupeleka mabalaa majumbani mwa watu)! Shida ni namna ya kutoka hapo kwenye "vicious circle"!
 
Mansa Musa ni kama Sulemani wa biblia...Walikuwa na hela kipindi chao lakini hamna mtu mwenye ushahidi wa thamani ya utajiri wao,,,kwahyo figure kama 400B ni makadirio tu ya mashekhe na usishangae elon akifika huko wakasema Mansa Mussa alikuwa na 1 trillion
😂😂kwamba dini hazitaki kuovertekiwa kwenye pesa
 
kwani ni wapi biblia imesema mpumbavu hawezi pata Mali?.
Bible imesema wakana Mungu ni wapumbavu haijasema wakana Mungu hawata kuwa na Mali.
Mme wa Abigaili alikuwa na Mali nyingi ila Abigaili huyo huyo alimuita Mme wake mpumbavu mbele ya Daud.

Alafu, mbona inshu ya jamaa kuwa Atheist umeikomalia sana? kila ikikoment"jamaa ni atheist!! ".
itakuwa na wewe ni atheist, tuambie, unanini?
Do you mind me kurepeat jamaa ni atheist? mkuu acha kupangia watu nini cha kucomment aisee au ulitaka awe mfia dini kama wewe ndio ufurahi?.
Mimi haijalishi ni atheist au sio atheist sababu it's non of your business lakini kuhusu mimi nina nini jibu ni nina kichwa na ubongo mkubwa ndani yake pia sio mfia dini.

Ndio ni atheist na nimerudia na kuikomalia makusudi ili wafia dini msilete fix za "mungu kambariki" na fairy tales nyingine.
Elon anasema yeye anafanya kazi masaa 14 kwa kila siku, 7 days a week, ni yeye na akili yake bila msaada wa yoyote.
Then mfia dini mmoja anatoka huko anakuja na story za mungu kambariki, yaani unaficha juhudi za mtu mwingine na kumpa mwingine. kwanini asikubariki na wewe goddamnit?

Pia mimi sijarefer kitabu chochote cha dini bali nimesema kwa "tafsiri ya wafuasi wa dini" so you better stop tripping yourself.

Wafuasi wa dini na vitabu vyao wanasema kila kitu kinapewa na mungu, na atakayeomba ndio atakayepewa.
Huyu genius haamini mungu wala uwepo wake achana kumuomba tu.
Sasa hizo mali amempa nani?

Wewe unaomba kila siku kwa mungu wako na bado haujafikia level ya huyo genius ambaye mnamuita mpumbavu.
Yaani mungu anaacha kuwapa nyie mnaomuomba, mnaokesha na kumpa sadaka, anaenda kumpa mtu ambaye wala hamuamini, hamuombi, hajui, wala hajali kuhusu uwepo wake?
especially ni mtu ambaye amempa cheo cha "mpumbavu".

Mpaka hapo hauoni kwamba huyo mungu anajipinga mwenyewe na hana haki wala fair?
 
Do you mind me kurepeat jamaa ni atheist? mkuu acha kupangia watu nini cha kucomment aisee au ulitaka awe mfia dini kama wewe ndio ufurahi?.
Mimi haijalishi ni atheist au sio atheist sababu it's non of your business lakini kuhusu mimi nina nini jibu ni nina kichwa na ubongo mkubwa ndani yake pia sio mfia dini.

Ndio ni atheist na nimerudia na kuikomalia makusudi ili wafia dini msilete fix za "mungu kambariki" na fairy tales nyingine.
Elon anasema yeye anafanya kazi masaa 14 kwa kila siku, 7 days a week, ni yeye na akili yake bila msaada wa yoyote.
Then mfia dini mmoja anatoka huko anakuja na story za mungu kambariki, yaani unaficha juhudi za mtu mwingine na kumpa mwingine. kwanini asikubariki na wewe goddamnit?

Pia mimi sijarefer kitabu chochote cha dini bali nimesema kwa "tafsiri ya wafuasi wa dini" so you better stop tripping yourself.

Wafuasi wa dini na vitabu vyao wanasema kila kitu kinapewa na mungu, na atakayeomba ndio atakayepewa.
Huyu genius haamini mungu wala uwepo wake achana kumuomba tu.
Sasa hizo mali amempa nani?

Wewe unaomba kila siku kwa mungu wako na bado haujafikia level ya huyo genius ambaye mnamuita mpumbavu.
Yaani mungu anaacha kuwapa nyie mnaomuomba, mnaokesha na kumpa sadaka, anaenda kumpa mtu ambaye wala hamuamini, hamuombi, hajui, wala hajali kuhusu uwepo wake?
especially ni mtu ambaye amempa cheo cha "mpumbavu".

Mpaka hapo hauoni kwamba huyo mungu anajipinga mwenyewe na hana haki wala fair?
ni wapi nimekupangia cha kuandika? ukuona alama ya kuuliza kwenye comment yangu?.

na mfia dini akisema :, Mungu kambariki huyo jamaa"wewe unakereka vipi?.
ikiwa utaki kupangiwa at the same time unataka wafia dini wasitoe komenti zao kwa mirengo ya dini na imani zao, hiyo inakuwa na maana gani?
au unataka kusema Max mello kakupa wewe kinga ya kutopangiwa cha kukoment ila wafia dini hawana hiyo kinga?
 
ni wapi nimekupangia cha kuandika? ukuona alama ya kuuliza kwenye comment yangu?.

na mfia dini akisema :, Mungu kambariki huyo jamaa"wewe unakereka vipi?.
ikiwa utaki kupangiwa at the same time unataka wafia dini wasitoe komenti zao kwa mirengo ya dini na imani zao, hiyo inakuwa na maana gani?
au unataka kusema Max mello kakupa wewe kinga ya kutopangiwa cha kukoment ila wafia dini hawana hiyo kinga?
Hii haihusiani na kukereka, kukereka ni mambo ya wanawake.
Hii inahusu Facts na matumizi sahihi ya akili.

Wewe kusema "Alafu, mbona inshu ya jamaa kuwa Atheist umeikomalia sana? " tayari umenipangia nini cha kuandika na nini cha kufikiria.
Hivi unajua maana ya neno "ALAFU"?

Sasa nioneshe wewe wapi nilikuambia kwamba usitoe comment yako ya kidini?
Bila shala utakuwa unajitisha mwenyewe.
Hili halihusiani na kupangiana nini cha kuandika bali hili la kupangiana kuandika umelileta wewe, mkuu una hoja za kitoto sana.

Jamiiforums ni sehemu ya great thinkers hivyo ukicomment nonsense na mtu akakupinga kwa hoja usishangae.
Kuna kupinga kwa hoja na kupinga kwa kuacha hoja na kumuendea mtu husika kitu ambacho wewe ndio umefanya hapa.

Kumwambia atheist kwamba mungu amembariki clearly ni kukosa akili.
So mkuu kama unaona au kuhisi nimekukataza kucomment mambo yako ya dini, basi ok nakurusu wewe comment kwamba "Elon Musk mungu ndio amembariki" you're free now.

But still hoja zangu ziko palepale.
 
This guy is very open and he's staight forward.
SWALA la kuahidi kutokomeza njaa duniani limekuwa kama wimbo. Pesa nyingi sana huchangwa every year duniani lakini ni kiasi kidogo tu ndio huwafikia walengwa. The rest zinapigwa au kutumika ndivyo sivyo na haya mashirika makubwa kama WFP , etc.
 
Yaani mungu anaacha kuwapa nyie mnaomuomba, mnaokesha na kumpa sadaka, anaenda kumpa mtu ambaye wala hamuamini, hamuombi, hajui, wala hajali kuhusu uwepo wake?
Una uhakika na hili? Kwani huo utajiri wamepewa "Atheists" tu? Na umasikini wamepewa "Wafia dini" tu? Maana nikisoma andiko lako naona ni kama unahitimisha hivyo.


Ndio ni atheist na nimerudia na kuikomalia makusudi ili wafia dini msilete fix za "mungu kambariki" na fairy tales nyingine.
Kwa Imani yangu Mimi (Uislam), Mungu humpa yoyote amtakaye katika maisha ya Dunia bila kujali ni Muumini au sio Muumini kwa Hikma yake. Ndio maana "Atheist" Elon Musk amepewa kama walivyopewa baadhi ya "Wafia dini", wakapewa na baadhi ya wasio "Atheists" wala wasio "Wafia dini", wakanyimwa baadhi ya "Wafia dini" kama walivyonyimwa baadhi ya "Atheists".
Elon anasema yeye anafanya kazi masaa 14 kwa kila siku, 7 days a week, ni yeye na akili yake bila msaada wa yoyote.
Then mfia dini mmoja anatoka huko anakuja na story za mungu kambariki, yaani unaficha juhudi za mtu mwingine na kumpa mwingine. kwanini asikubariki na wewe goddamnit?
Punguza jazba mdogo wangu. Kwani unamjua katika maisha halisi nje ya JF huyo Member unayemuambia hivyo? Una uhakika hajabarikiwa? Yaonesha kana kwamba unamjua vizuri!

Kwani "Wafia dini" hawabarikiwi? Na je, hakuna anayefanya kazi kwa bidii kwa saa 14 au zaidi kama au kuliko Elon?
Pia mimi sijarefer kitabu chochote cha dini bali nimesema kwa "tafsiri ya wafuasi wa dini" so you better stop tripping yourself.
Mimi ni Mfuasi wa Dini (Muislam). Unapata wapi ujasiri wa kunisemea? Ni wapi sisi Waislam tumesema Mungu hawapi neema Wapumbavu? Au mtu akiwa muovu hapewi katika maisha ya hapa duniani? Wapi tunasema hilo?
Wafuasi wa dini na vitabu vyao wanasema kila kitu kinapewa na mungu, na atakayeomba ndio atakayepewa.
Huyu genius haamini mungu wala uwepo wake achana kumuomba tu.
Sasa hizo mali amempa nani?
Wafuasi wa dini ipi? Katika hizo dini na Uislam upo? Katika hivyo vitabu na Qur'an ipo na vitabu vilivyoandika Sunnah na Athar?

Naam, Mungu ndie huwapa viumbe vyake hapa duniani kwa Hikma yake.

Atakayeomba ndie atakayepewa, hiyo umeitoa wapi? Kwahiyo asieomba hapewi? Hebu nioneshe katika vitabu vya dini yangu Uislam nione, maana wewe waijua sana dini yangu ya Uislam.

Huyo "genius " asiyeamini uwepo wa mungu, una uhakika hawezi kumuomba Mungu hasa anapokuwa na shida kubwa? Una uhakika kuwa "Atheists" hawamuombi kabisa Mungu?

Elon Musk, CEO of SpaceX, said he prayed for the Dragon spacecraft upon launching, despite not being religious. Musk’s space achievements are certainly something to marvel at, but Musk’s recognition of prayer isn’t something to skip over, either.

“You know, I’m not very religious, but I prayed for this one,” Musk said after the landing of the Dragon back on Earth on August 2, 2020.


Nikisema wewe ni muongo nitakuwa nakusingizia mdogo wangu? Sasa unazijua siri zake zote Elon? Una uhakika kwamba huwa haombi kabisa? Na hata kama angekuwa haombi, kwani asiyeomba hapewi? Umetoa wapi hiyo?
Wewe unaomba kila siku kwa mungu wako na bado haujafikia level ya huyo genius ambaye mnamuita mpumbavu.
Kwa Imani yetu sisi Waislam, Muumin anaweza kuomba jambo kisha akajibiwa kwa kilicho bora zaidi, yaani asipewe kile kile alichokiomba akapewa kikubwa zaidi kwa Hikma ya Allah mwenyewe, au akapewa kile kile muda ule ule, au akapewa kile kile lakini sio muda ule ule, au ikatumika kumuepusha na shari kubwa zaidi. Na huyo "genius" kupewa wala halishangazi. Wewe inakushangaza? Kwanini?
Mpaka hapo hauoni kwamba huyo mungu anajipinga mwenyewe na hana haki wala fair?
Allah akuongoze katika njia iliyonyooka mdogo wangu. Atuongoze na sisi.

Na Allah anajua zaidi.
 
Una uhakika na hili? Kwani huo utajiri wamepewa "Atheists" tu? Na umasikini wamepewa "Wafia dini" tu? Maana nikisoma andiko lako naona ni kama unahitimisha hivyo.



Kwa Imani yangu Mimi (Uislam), Mungu humpa yoyote amtakaye katika maisha ya Dunia bila kujali ni Muumini au sio Muumini kwa Hikma yake. Ndio maana "Atheist" Elon Musk amepewa kama walivyopewa baadhi ya "Wafia dini", wakapewa na baadhi ya wasio "Atheists" wala wasio "Wafia dini", wakanyimwa baadhi ya "Wafia dini" kama walivyonyimwa baadhi ya "Atheists".

Punguza jazba mdogo wangu. Kwani unamjua katika maisha halisi nje ya JF huyo Member unayemuambia hivyo? Una uhakika hajabarikiwa? Yaonesha kana kwamba unamjua vizuri!

Kwani "Wafia dini" hawabarikiwi? Na je, hakuna anayefanya kazi kwa bidii kwa saa 14 au zaidi kama au kuliko Elon?

Mimi ni Mfuasi wa Dini (Muislam). Unapata wapi ujasiri wa kunisemea? Ni wapi sisi Waislam tumesema Mungu hawapi neema Wapumbavu? Au mtu akiwa muovu hapewi katika maisha ya hapa duniani? Wapi tunasema hilo?

Wafuasi wa dini ipi? Katika hizo dini na Uislam upo? Katika hivyo vitabu na Qur'an ipo na vitabu vilivyoandika Sunnah na Athar?

Naam, Mungu ndie huwapa viumbe vyake hapa duniani kwa Hikma yake.

Atakayeomba ndie atakayepewa, hiyo umeitoa wapi? Kwahiyo asieomba hapewi? Hebu nioneshe katika vitabu vya dini yangu Uislam nione, maana wewe waijua sana dini yangu ya Uislam.

Huyo "genius " asiyeamini uwepo wa mungu, una uhakika hawezi kumuomba Mungu hasa anapokuwa na shida kubwa? Una uhakika kuwa "Atheists" hawamuombi kabisa Mungu?

Elon Musk, CEO of SpaceX, said he prayed for the Dragon spacecraft upon launching, despite not being religious. Musk’s space achievements are certainly something to marvel at, but Musk’s recognition of prayer isn’t something to skip over, either.

“You know, I’m not very religious, but I prayed for this one,” Musk said after the landing of the Dragon back on Earth on August 2, 2020.


Nikisema wewe ni muongo nitakuwa nakusingizia mdogo wangu? Sasa unazijua siri zake zote Elon? Una uhakika kwamba huwa haombi kabisa? Na hata kama angekuwa haombi, kwani asiyeomba hapewi? Umetoa wapi hiyo?

Kwa Imani yetu sisi Waislam, Muumin anaweza kuomba jambo kisha akajibiwa kwa kilicho bora zaidi, yaani asipewe kile kile alichokiomba akapewa kikubwa zaidi kwa Hikma ya Allah mwenyewe, au akapewa kile kile muda ule ule, au akapewa kile kile lakini sio muda ule ule, au ikatumika kumuepusha na shari kubwa zaidi. Na huyo "genius" kupewa wala halishangazi. Wewe inakushangaza? Kwanini?

Allah akuongoze katika njia iliyonyooka mdogo wangu. Atuongoze na sisi.

Na Allah anajua zaidi.
[Una uhakika na hili? Kwani huo utajiri wamepewa "Atheists" tu? Na umasikini wamepewa "Wafia dini" tu? Maana nikisoma andiko lako naona ni kama unahitimisha hivyo.]

Hilo hapo juu umesema wewe na hakuna sehemu nimeandika kwamba utajiri wamepewa atheists peke yake na umasikni wamepewa wafia dini pekee, na kama ipo hiyo sehemu iweke hapa.
Unless unataka kuleta ishu za exactness which is childish.

[Kwa Imani yangu Mimi (Uislam), Mungu humpa yoyote amtakaye katika maisha ya Dunia bila kujali ni Muumini au sio Muumini kwa Hikma yake. Ndio maana "Atheist" Elon Musk amepewa kama walivyopewa baadhi ya "Wafia dini", wakapewa na baadhi ya wasio "Atheists" wala wasio "Wafia dini", wakanyimwa baadhi ya "Wafia dini" kama walivyonyimwa baadhi ya "Atheists".]

Yeah kwa imani yako wewe "muislamu", mimi sijaarefer dini ya aina yoyote hapo bali nimeandika kwa umoja wa wafia dini wote.
Dini ni kama timu za mpira kila mtu anatetea ya kwake na kuiona sahihi, so kama unaona wewe uko sahihi basi na mimi niko sahihi vilevile.

[Punguza jazba mdogo wangu. Kwani unamjua katika maisha halisi nje ya JF huyo Member unayemuambia hivyo? Una uhakika hajabarikiwa? Yaonesha kana kwamba unamjua vizuri!
Kwani "Wafia dini" hawabarikiwi? Na je, hakuna anayefanya kazi kwa bidii kwa saa 14 au zaidi kama au kuliko Elon?]

Mkuu unanishangaza sana naona unasuffer na tatizo la exactness. ni kama computer unachoiambia ndio hicho'hicho itakachofanya haijalishi ni kitu gani sababu haina ability ya kuthink like human brain.
Kwakua mimi simjui huyo mleta mada na wewe unalijua hilo means ulitakiwa huitimshe kwamba simuongelei mleta mada.
Bali hapo inamaanisha sijamuongelea mtu niliyemquote bali nimeongelea wote wanaokesha wakiomba na bado wanakufa masikini.

Yeah wapo wafia dini wanaobarikiwa, ina maana mungu anabagua wafuasi wake?
Na ndio wapo watu wanaofanya kazi kama au zaidi ya elon musk, so point yako ni nini hapo?

[Mimi ni Mfuasi wa Dini (Muislam). Unapata wapi ujasiri wa kunisemea? Ni wapi sisi Waislam tumesema Mungu hawapi neema Wapumbavu? Au mtu akiwa muovu hapewi katika maisha ya hapa duniani? Wapi tunasema hilo?]

Wapi umeona mimi nimemention "uislamu"..?
Sasa kama sijarefer kitabu cha dini chochote kwanini unasema nimekusemea wewe?
See you're tripping too.

Kutumia vitabu vya dini kama reference ya kusimama mbele ya logic ni matumizi dhaifu ya common sense.
That's why nawaita wafuasi wa dini "wafia dini", sababu mnashidwa kuhoji mnachofanya ni kumeza tu.

Sasa acha kutumia kitabu chako cha dini kama reference na uturn on ubongo wako na uanze kutumia common sense.
Au hatutoelewana sababu wewe umeambiwa na kukariri nini cha kufikiria wakati mimi niko free sijafungwa popote na najua jinsi gani ya kufikiria.

Sasa niambie:
Mungu anaombwa na wanawake pia watoto wadogo wanaokufa njaa kila siku, masikini, innocents vitani (tena wauaji nao ni wafuasi wa dini wanaoua kwa jina la huyo mungu)

Lakini hapana mungu anawaacha wote hao wanaomuhitaji na kumuomba, anaenda kumbariki mtu ambaye anampinga na wala asiyejali kuhusu uwepo wa wake.
Kwanini mungu anaendelea kumpa mali mtu wa aina hiyo? au ngoja nitumie neno "kubariki". why ambariki?

Je hiyo ni haki?
hicho ni kitendo cha usawa?
je huyo mungu wako sio katili?
je huo sio ubaguzi?
je huyo mungu wako hajipingi mwenyewe?

Now this is where you're supposed to use your brain, achana na kitabu chako cha dini na uniambie kwanini?
Kama hiki kitu kina make sense kwa akili ya kawaida basi utaweza kujibu au hautojibu hili swali I guarantee you.

[Wafuasi wa dini ipi? Katika hizo dini na Uislam upo? Katika hivyo vitabu na Qur'an ipo na vitabu vilivyoandika Sunnah na Athar?
Naam, Mungu ndie huwapa viumbe vyake hapa duniani kwa Hikma yake.
Atakayeomba ndie atakayepewa, hiyo umeitoa wapi? Kwahiyo asieomba hapewi? Hebu nioneshe katika vitabu vya dini yangu Uislam nione, maana wewe waijua sana dini yangu ya Uislam.]

Kama nilivyokwambia wewe umemezeshwa na kukariri nini cha kufikiria, that's why sound like a robot.
So again mimi sijarefer kitabu cha dini chochote nimeandika kwa umoja wao wote, sababu dini ni kama timu ya mpira kila mtu hutetea yake na kujiona bora na sahihi kuliko nyingine.
So kama unaona au kuhisi wewe upo sahihi basi na mimi niko sahihi vilevile.

Now acha kukimbilia kitabu kilichoandikwa na primitive beings miaka elfu iliyopita na uanze kutumia ubongo wako au hautonielewa sababu mimi natumia akili hapa.
Na wewe unaendeshwa na maneno ya kukalili, that's why mwanzo nilinotice tatizo la "exactness" unachoambiwa ndio hicho'hicho unachofanya kama computer hauhoji wala kuuliza kwanini.

So now washa tena ubongo wako just kwa muda mchache tu ili uweze kutumia tena akili yako.

Kwahiyo kwako ni sawa na ni sahihi kwa Mungu kuwaacha watu wanaomuhitaji na kwenda kumpa atheist?
Mtu ambaye hajali kuhusu uwepo wake wala ukuu wake?
Kwanini eti sababu yeye huamua wa kumpa kutokana na hekima yake?

Kwako hicho kitu ni sawa na ni sahihi kabisa?

Mimi hakuna sehemu nimesema naijua vizur sana dini yako na blahblah nyingine bali hayo umeyasema wewe hivyo usinilishe maneno.
considering hakuna sehemu nimemention dini yako (Narudia hili mara mia'mia ili uelewe)..
So mimi sijui chochote kuhusu dini yako sababu I don't give two shits about it.

But, najua kutumia logic na akili yangu ipasavyo.
Na wewe jaribu kutumia hiyo mbinu kwa dk 2 tu uone matokeo yake.

Kwanini apewe ambaye hajaomba na kuwaacha wanaoomba, kwanini?
Kuna kitu gani nyuma ya hicho kitu na point ni nini?

[Huyo "genius " asiyeamini uwepo wa mungu, una uhakika hawezi kumuomba Mungu hasa anapokuwa na shida kubwa? Una uhakika kuwa "Atheists" hawamuombi kabisa Mungu?
Elon Musk, CEO of SpaceX, said he prayed for the Dragon spacecraft upon launching, despite not being religious. Musk’s space achievements are certainly something to marvel at, but Musk’s recognition of prayer isn’t something to skip over, either.
“You know, I’m not very religious, but I prayed for this one,” Musk said after the landing of the Dragon back on Earth on August 2, 2020.]

I don't care kama atheist anomba au haombi tha's non of my business.
What I care about is atheist ni amevikwa cheo cha mpumbavu sababu hawaamini wala kujali kuhusu uwepo wa mungu na lazima waje kuadhibiwa.
So huyo mungu kupokea maombi ya atheist basi tayari atakuwa anajipinga mwenyewe na bila shaka hana haki wala kujali wafuasi wake wa kweli.
Unaacha kuwapa wanaoomba kila siku unaenda kumpa aliyekomba akiwa na shida tena mara moja.

Na siyo kila anayeomba basi anamuomba mungu bali ni kuweka tumaini tu, ni sawasawa na kupanga ratiba zako za kesho ikiwa haujui nini kitatokea je hapo utasema umeomba?

[Nikisema wewe ni muongo nitakuwa nakusingizia mdogo wangu? Sasa unazijua siri zake zote Elon? Una uhakika kwamba huwa haombi kabisa? Na hata kama angekuwa haombi, kwani asiyeomba hapewi? Umetoa wapi hiyo?]

I don't give a damn kama utaniita muongo au nabii.
Asiyeooomba hapewi haina haja ya kuitoa popote pale bali kwa akili ya kawaida tu, hakuna sababu ya kujiuliza kwanini asiyeomba hapewi.
Ila kwakuwa wewe umekariri nini cha kufikiria hivyo siwezi ona ajabu kwanini umeuliza swali la kitoto namna hiyo, to be honest you sound exactly like how I program my little Artificial Intelligence, no offense but I mean it.

[Kwa Imani yetu sisi Waislam, Muumin anaweza kuomba jambo kisha akajibiwa kwa kilicho bora zaidi, yaani asipewe kile kile alichokiomba akapewa kikubwa zaidi kwa Hikma ya Allah mwenyewe, au akapewa kile kile muda ule ule, au akapewa kile kile lakini sio muda ule ule, au ikatumika kumuepusha na shari kubwa zaidi. Na huyo "genius" kupewa wala halishangazi. Wewe inakushangaza? Kwanini?]

Inanishangaza kwanini anawaacha watoto wanaokufa njaa kila siku na kwenda kumpa atheist asiyejali uwepo wake wala ukuu wake.
Kama hichi kitu kwako ni sahihi then unahitaji daktari wa maswala ya akili.

[Allah akuongoze katika njia iliyonyooka mdogo wangu. Atuongoze na sisi.
Na Allah anajua zaidi.]
Kama angekuwa anajua zaidi basi asingemuumba shetani.

Na mkuu usiniite mimi "mdogo" hii ni fake ID.
Na mimi sihitaji kuongozwa kwenye njia sahihi bali nikiiona njia sahihi basi tayari naijua kama ni sahihi au ni scam.

Allah akuongoze? kama anavyowaongoza AL SHABAB, BOKO HARAM, AL QAEDA na ISIS jinsi wanavyoua maelfu kwa kushoot, kubaka na wanavyochinja watoto na wanawake wasio na hatia kwa jina lake?

Nah, hiyo njia inasound dark, cruelty na full of prejudice to me, I'll make my own way instead. I told you najua kipi ni sahihi na kipi sio sahihi.
Na hiyo njia ni wazi na bila shaka sio sahihi.
 
Back
Top Bottom