mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Jamaa ni wabinafsi sanaaa.Waarabu sasa, yaani wanautajiri usio na jasho lakini wame-mute kama hawajui Afgans, Syria, na zingine kama wanamajanga!!
Jamaa ni wabinafsi sanaaa.Waarabu sasa, yaani wanautajiri usio na jasho lakini wame-mute kama hawajui Afgans, Syria, na zingine kama wanamajanga!!
Njaa duniani inasababishwa na mlolongo wa mambo mengi ikiwemo magonjwa, vita, mabadiliko ya tabia nchi, kuongezeka kwa idadi ya watu, sera na siasa za hovyo kuhusu utafiti na uwekezaji kwenye uzalishaji.
Uhifadhi na uchakataji (food processing) wa chakula, elimu duni kuhusu lishe nk. nk. nk, na yote haya yamesababishwa na binadamu mwenyewe.
Sasa ni upuuzi kufikiria kwamba kuna mtu anazo pesa za kutatua matatizo ya njaa duniani.
Huyu jamaa ni atheist means haamini uwepo wa mungu, hivyo huyo mungu akimbariki huyu jamaa asiyemuamini na kuacha kuwabariki nyie mnaomuamini basi huyo mungu hana akili.
Mkulungwa01 post nyingine ya kuthibitisha ushenzi wa elon musk ni hii hapa ameandika ""Why does ur pp look like u just came?""...Mshenzi? Hebu toa ushahidi kuwa ni mshenzi kwa statement hata 1 ya kishenzi aliyowahi kuitamka. Usitake watu wengine wamuone mshenzi kwa sababu wewe umemuona mshenzi, ni ushamba.
kwa hiyo kukoment Alon atheist ndiyo kuwa akili? kwa namna ipi labda? ebu fafanua ilinikuelewe.Hii haihusiani na kukereka, kukereka ni mambo ya wanawake.
Hii inahusu Facts na matumizi sahihi ya akili.
Wewe kusema "Alafu, mbona inshu ya jamaa kuwa Atheist umeikomalia sana? " tayari umenipangia nini cha kuandika na nini cha kufikiria.
Hivi unajua maana ya neno "ALAFU"?
Sasa nioneshe wewe wapi nilikuambia kwamba usitoe comment yako ya kidini?
Bila shala utakuwa unajitisha mwenyewe.
Hili halihusiani na kupangiana nini cha kuandika bali hili la kupangiana kuandika umelileta wewe, mkuu una hoja za kitoto sana.
Jamiiforums ni sehemu ya great thinkers hivyo ukicomment nonsense na mtu akakupinga kwa hoja usishangae.
Kuna kupinga kwa hoja na kupinga kwa kuacha hoja na kumuendea mtu husika kitu ambacho wewe ndio umefanya hapa.
Kumwambia atheist kwamba mungu amembariki clearly ni kukosa akili.
So mkuu kama unaona au kuhisi nimekukataza kucomment mambo yako ya dini, basi ok nakurusu wewe comment kwamba "Elon Musk mungu ndio amembariki" you're free now.
But still hoja zangu ziko palepale.
Yeah.kwa hiyo kukoment Alon atheist ndiyo kuwa akili? kwa namna ipi labda? ebu fafanua ilinikuelewe.
nb,
kusema:, nisikupangie at the same time unapinga wenye dini zao kukemont kwa namna yao uko ni kupoka haki ya wengine.
unatatizo kubwa sana, utakuwa unasumbuliwa na Sonona.Yeah.
No, bali nasumbuliwa na watu wenye uwezo mgumu wa kuelewa simple reasoning.unatatizo kubwa sana, utakuwa unasumbuliwa na Sonona.
Evil goat, thunder fire you.No, bali nasumbuliwa na watu wenye uwezo mgumu wa kuelewa simple reasoning.
Lakini ni kweli itatufikia sisi wenyenjaa huko Nyamaronda?Beberu linataka kusaidia njaa duniani
My desperation is immeasurable on how low your thinking capacity is.Evil goat, thunder fire you.
God, you see this maniac I'm sharing the same country with🙆🙆!.
initial i noticed some symptoms of madness from him i thought he only need medical attention now i realized his siblings has delayed to chain him.
i don't care what you are spewing here, im interested to help you.My desperate is immeasurable on how low your thinking capacity is.
Now just go get a life goddamnit!
You know what, you're the one with mental issues here.i don't care what you are spewing here, im interested to help you.
vist this site and let me know when you done. seriously, you need help.
How to support someone with a mental health problem
We all go through tough times and people help us through them. Other times we have been worried about other people’s mental health.www.mentalhealth.org.uk
What to do when they don't want help
Seeing a loved one suffer is hard. It’s common and natural to want to fix things for our loved ones. Being around them can also be hard when taking care of someone wears you out. Something needs to change soon—otherwise you’re also not sure how much more you can take. If you’re trying to help …...screening.mhanational.org