Elon Musk ataka kumlipa dogo aliyetengeneza bot ya twitter inayomfuatilia kila anapoenda

Nafaka

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
12,156
31,041
Elon Musk alimfuata DM dogo wa miaka 19 twitter ambaye ametengeneza bot yenye jina la ElonJet na bots nyingine zinazofuatilia location za matajiri.

Alimuuliza hizo bot zinamwingizia kiasi gani, dogo akasema kama $20 tu kwa mwezi, Elon Musk akampa offer ya 5000$ ili afute account ya bot inayomfuatilia kwasababu anaona ni kama ina affect usalama wake.

Dogo akasema labda ampe $50000 ili aweze kununua gari la tesla na abaki ni change kidogo ya kulipia masomo yake.

Elon akasema ngoja afikirie kuhusu hilo na baada ya hapo akawa kimya.
 
Basi huyu msen*e bahili, dola ulfu hamsini tu anaona noma! Na mipesa yote alionayo hataki kuonesha jeuri ya pesa
 
Jamaa kuna madai kwamba he is not who is pretending to be. Hata ukisikia story ya jinsi alivyowapiga chini waanzilishi wa Tesla Motors na kuchukua credit kama yeye ndiye mwanzilishi utashangaa

Kuna ule msemo unasema “Never meet your Heroes”, people always disappoint unavyomuona mtu kwenye Media ni tofauti na ukimjua personally kabisa
 
Jamaa kuna madai kwamba he is not who is pretending to be. Hata ukisikia story ya jinsi alivyowapiga chini waanzilishi wa Tesla Motors na kuchukua credit kama yeye ndiye mwanzilishi utashangaa
Anawasubiria bado mkanunue Dogecoin a cashout.
 
Ndo maana anazipigia promo nini ili zipande ye a cash out atuachie hasara.

Exactly halafu mwenye naanza kumshtukia sku hizi... tofauti na zaman sasa hivi anazid sasa anajionyesha live kuwa ni janja janja sana, kuna hii tweet akiwahusisha McDonalds wakubali hiyo Dogecoin nkaona duh

IMG_1008.jpg
 
Jamaa kuna madai kwamba he is not who is pretending to be. Hata ukisikia story ya jinsi alivyowapiga chini waanzilishi wa Tesla Motors na kuchukua credit kama yeye ndiye mwanzilishi utashangaa

Tajir anapenda kujifisia sana ana ulimbukeni wa kibongo
 
Elon Musk alimfuata DM dogo wa miaka 19 twitter ambaye ametengeneza bot yenye jina la ElonJet na bots nyingine zinazofuatilia location za matajiri.

Alimuuliza hizo bot zinamwingizia kiasi gani, dogo akasema kama $20 tu kwa mwezi, Elon Musk akampa offer ya 5000$ ili afute account ya bot inayomfuatilia kwasababu anaona ni kama ina affect usalama wake.

Dogo akasema labda ampe $50000 ili aweze kununua gari la tesla na abaki ni change kidogo ya kulipia masomo yake.

Elon akasema ngoja afikirie kuhusu hilo na baada ya hapo akawa kimya.
Sijaelewa hata ni bot gani hizi hizi tunazojua au? Kama ni hizo how?? Kwan tesla anapita majini muda wote?
 
Sijaelewa hata ni bot gani hizi hizi tunazojua au? Kama ni hizo how?? Kwan tesla anapita majini muda wote?
Bot ni app au prog uliotengenzwa kufanya vitu flani ambavyo mara nyingi hufanywa na binadamu mfano kutoa customer service via chating, kukusanya na kusummerize habari za mitandao maarufu, n.k
 
Back
Top Bottom