Elon Musk anaongoza kwa utajiri duniani. Utajiri wake ni wa kutisha

Mawazo ya kuomba Ni ya hovyo Sana. Yeye siyo bank kutombwa mikopo.
Unaweza kujikuta unapigwa ban kumbe hukuwa na nia ovu maskini.......
ni mponyoko wa maneno
Hujakosea bilionea wa kudownload mapesa mitandaoni,niweke kwny maombi.
Upo nyuma hayo mambo wanafanya ma financial analyst.....
sasa ww muuza mikaa utaelewa kweli!?
mtu kama ww ni ya kusamehe bure tu..
manake unaonekana upo matak.oni mwa dunia utaelewa kitu kweli
 
Unaweza kujikuta unapigwa ban kumbe hukuwa na nia ovu maskini.......
ni mponyoko wa maneno Upo nyuma hayo mambo wanafanya ma financial analyst.....
sasa ww muuza mikaa utaelewa kweli!?
mtu kama ww ni ya kusamehe bure tu..
manake unaonekana upo matak.oni mwa dunia utaelewa kitu kweli
Wala hujakosea tajiri wa kudownload mapesa,endeleeni kuyadownload mi naendelea kuchoma mkaa mdogomdogo.

Pale Jangid building mnarudi Tena lini kuwafundisha vijana namna ya kudownload mapesa mitandaoni?
 
Mzuka wanajamvi!

Elon Musk ni tajiri namba moja sasa hivi duniani baada ya kumpita Jeff Beezos wa Amazon na utajiri wake ni wa kutisha ambao ni zaidi ya utajiri wa Bill Gates (4) na Warren Buffet (9) ukiunganishwa pamoja. Bill Gates ni number 4 na Buffet ni number 9 kwa utajiri duniani.

Elon Musk ambae ni muanzilishi wa Tesla na SpaceX amejikuta anakuwa na utajiri wa kutisha baada za hisa za makampuni yake kupaa kwa 33% na kuuza kwa dollars za Marekani Billion 100.

View attachment 1977916

Cha kushangaza mwaka jana kama sasa hivi Elon Musk hakuwepo top ten ya billionaire na wakati huo Jeff Beezos aliongoza sana akiwa na 113 billion dollars.

Magari ya Tesla sasa hivi yanauzika kama Njugu hadi Uingereza, China na Ujerumani Tesla imeongoza kwa mauzo miezi mitatu mfululizo toka mwezi wa saba.

Soma zaidi kwa Kiingereza kwa kubofya hapo chini.

Bill gates na jeff bezon wameshuka kutokana kuachana na wake zao na hao wake zao wamegawana nao mkwanja mirefu mimali kibao ndio sababu ya kushuka kwao
 
Mkuu hivi inawezekana je technolojia izidi hela mafuta. Bado hii kitu inanishangaza kwasababu mafuta siyo mchezo.
Kwa hali ya sasa mafuta yanaisha soko technology inashika kasi mfano kuna magari yanaanza kutoka mengi hayatumii mafuta itafika mahala hata mitambo itatumia mafuta kiasi tu na hii wajiangalie sana nchi zinazotegemea mafuta wazungu wakiamua kitu ujue kitapita na kitatapakaa utake usitake
 
Hizo data za forbes ni za kupeleka.
Kuna watu Wana hela na mali kuliko hizo na awataki kupeleka taarifa zao Forbes sababu awataki umaarufu au kujulikana
Aliyekudanganya nani forbes wanachimbua kwa kupeleleza na wanatoa wao sio watu wanapeleka huo ni unafiki wa kiwango soma data zao uone
 
Urajiri wa Elon upo kwenye makaratasi tu na asilimia ndogo kwenye cash. Ukilinganisha na matajiri wengine kama Bill Gates, Warren, Jeff Bezos na kadhalika.
Makampuni yao yanaingiza faida kubwa na wanapokea salio kubwa kila mwaka. Tesla baada ya kulamba hasara kwa miaka mingi ni miaka 2 iliyopita kama sijakosea ndio imeanza kupata faida.

Share Price ya Tesla imekuwa overvalue by far! Makampuni yote makubwa ya magari ambayo yanaingiza faida kubwa kama Toyota+Volkswagen+Benz(Daimler)+General Motor+BMW+Volvo+Ferrari bado hazijafikia Market Capital ya Tesla!!

Elon Mask anapendwa na investors na ndio ambao wanapandisha bei ya hisa za Tesla!
 
Unajua utajiri wa mfalme wa Qatar changanya pesa zahao top ten wote hawamfikii ana quadrillion 20 ni Sawa na dollar trillion 1000

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Mfalme ana pesa za taifa zima, rasilimali zote za nchi nk.. na ushasema ni mfalme means sio tena mtu binafsi aliyejitafutia peke yake kwa akili yake bali wanarithishana vizazi na vizazi.

Elon musk ni mtu binafsi aliyepigika mwenyewe mpaka kufika alipofika.
yeye sio mfalme wala rais ni mtu kama wewe ambaye ameamua kutumia akili yake kutafuta.

so elon musk ndio tajiri namba moja kwa mantiki hiyo.
 
Elon kakimbiwa na demu wake juzi juzi. kweli mapenzi siyo mpunga.
Who cares about mapenzi, kesho kutwa anachukua star mwingine anamzalisha yeye anachukua mtoto then anamtupa.
Hakuna kitu kinaitwa mapenzi ukilinganisha kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya, jamaa anachojali ni kuzalisha watoto wengi kadri anavyoweza ili waje kushikilia legacy yake.
 
Hadithi za kusadikika.vya thamani vya thaminika.ukweli utabaki uongo utafahamika
 
Mkuu Dunia ina shift kutoka kwenye raw materiao na kwenda kwenye Informations zaidi, Kipindi cha nyuma miaka kama 10 na nyuma, makamouni ya nishati kama Bp, wakina Total, wakina Exon Mobile, and alike ndo walikuwa wana tisha Dunia kwa ukwasi, leo hii hata top 20 hawapo tena.

Sisi bado mfano tunaendelea kuamishwa tuna Mali asili nyingi, mambo ya Mali asili yanaanza kupitwa na wakati sana kwa sababu ndo mali za kwanza kabisa wakati Dunia Inaimbwa.

Leo hii mfano kuna Almasi inazalishwa Maabara iko sawa kwa asilimia 100 na ile inayo chimbwa, so miaka michache tu kuanzia sasa migodo ya almasi haitakuw na kazi tena.

Tulichelewa sana kuvuna Mali asili zetu na kuzitumia vilivyo kwa sasa anaelekea kuwa too late
Sidhani km kweli madini yote unaweza kutengeneza maabara!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom