BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,376
Tunawaza mbususu tu wakati matajiri wanawataliki wake zao means wanawake ni hasara ..Wanaume wa tz mnajisikiaje
Tunawaza mbususu tu wakati matajiri wanawataliki wake zao means wanawake ni hasara ..Wanaume wa tz mnajisikiaje
Bill Gattes amemtaliki mke wake.Tunawaza mbususu tu wakati matajiri wanawataliki wake zao means wanawake ni hasara ..
Sawa mkuu.Magari ya Umeme,
Vifaa vya Umeme wa nishati ya Jua,
Usambazaji wa Internet
Utafiti wa Mambo mbalimbali ya Anga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndumu hazijawahi kuacha wadada salamaWanaume wa tz mnajisikiaje
😂😂😂 maumivu makaliWewe unajisikiaje Changu kama Kim Kardashian kakuzidi Kila kitu yaani. Wewe na kumcha Mungu kote bado njaa kali🤣🤣🤣
Huu ni ukweli unaoumaMkuu Dunia ina shift kutoka kwenye raw materiao na kwenda kwenye Informations zaidi, Kipindi cha nyuma miaka kama 10 na nyuma, makamouni ya nishati kama Bp, wakina Total, wakina Exon Mobile, and alike ndo walikuwa wana tisha Dunia kwa ukwasi, leo hii hata top 20 hawapo tena.
Sisi bado mfano tunaendelea kuamishwa tuna Mali asili nyingi, mambo ya Mali asili yanaanza kupitwa na wakati sana kwa sababu ndo mali za kwanza kabisa wakati Dunia Inaimbwa.
Leo hii mfano kuna Almasi inazalishwa Maabara iko sawa kwa asilimia 100 na ile inayo chimbwa, so miaka michache tu kuanzia sasa migodo ya almasi haitakuw na kazi tena.
Tulichelewa sana kuvuna Mali asili zetu na kuzitumia vilivyo kwa sasa anaelekea kuwa too late
Nakuaje hapo namba 5 na 6Mzuka wanajamvi!
Elon Musk ni tajiri namba moja sasa hivi duniani baada ya kumpita Jeff Beezos wa Amazon na utajiri wake ni wa kutisha ambao ni zaidi ya utajiri wa Bill Gates (4) na Warren Buffet (9) ukiunganishwa pamoja. Bill Gates ni number 4 na Buffet ni number 9 kwa utajiri duniani.
Elon Musk ambae ni muanzilishi wa Tesla na SpaceX amejikuta anakuwa na utajiri wa kutisha baada za hisa za makampuni yake kupaa kwa 33% na kuuza kwa dollars za Marekani Billion 100.
View attachment 1977916
Cha kushangaza mwaka jana kama sasa hivi Elon Musk hakuwepo top ten ya billionaire na wakati huo Jeff Beezos aliongoza sana akiwa na 113 billion dollars.
Magari ya Tesla sasa hivi yanauzika kama Njugu hadi Uingereza, China na Ujerumani Tesla imeongoza kwa mauzo miezi mitatu mfululizo toka mwezi wa saba.
Soma zaidi kwa Kiingereza kwa kubofya hapo chini.
Elon Musk's wealth hits $230 billion and is now world's richest person
Elon Musk has now outstripped former richest person, Amazon founder Jeff Bezos, who didn't appear to have a care in the world on Sunday as he enjoyed a day out with Laura Sanchez.www.dailymail.co.uk
zinauza kashata.Kampuni zake zinatoa huduma gani?
Point Mujarrabu Hii..ningekua na dada Ungekua shemeji yangu.mfikirie mtu mmoja mfano huyo jamaa wa facebook ndiye mmiliki wa whatsap pia...kwa siku anaingiza shillingi ngapi ulimwenguni, naamini zaidi ya 50%ya wakazi wa dunia tunamchangia hela kwa siku....
Mafuta haiwezekani mmiliki wa kisima kimoja akatupa mafuta dunia nzima, pata logic hapo.. mtu mwenye kisima Z saudia anachangiwa na watu wangapi duniani kwa siku vs huyo wa facebook..?
Point Mujarrabu Hii..ningekua na dada Ungekua shemeji yangu.
Nimejiskia vibaya Sana aiseeWanaume wa tz mnajisikiaje
Kinyonge sana Dada Dina 😂😂😂Wanaume wa tz mnajisikiaje
Akili za watu kama huyu hazina exposure...Wasimsahau na yule jamaa wa kudownload mapesa mitandaoni,anaitwa Sirjeff.
Inauma Kwelikweli🤣🤣🤣😂😂😂 maumivu makali
Hujakosea bilionea wa kudownload mapesa mitandaoni,niweke kwny maombi.Akili za watu kama huyu hazina exposure...
kila kitu kwao ni mazingaombwe ni wakuonea huruma sana wapo nyuma
Yaan umenichamba bila tafsidaa kweliInauma Kwelikweli🤣🤣🤣
Hapana aisee, nilikuwa tu najaribu kuchomoa Mkuki ulionichoma na kuurudisha kwako pia🤣🤣Yaan umenichamba bila tafsidaa kweli View attachment 1988201
Mi nimechoma kidovoHapana aisee, nilikuwa tu najaribu kuchomoa Mkuki ulionichoma na kuurudisha kwako pia🤣🤣