donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,043
- 21,517
NaamHizo data za forbes ni za kupeleka.
Kuna watu Wana hela na mali kuliko hizo na awataki kupeleka taarifa zao Forbes sababu awataki umaarufu au kujulikana
Kivipi tajiri wa 6, 7 na 8 anamzidi hela tajiri wa 5?Mzuka wanajamvi!
Elon Musk ni tajiri namba moja sasa hivi duniani baada ya kumpita Jeff Beezos wa Amazon na utajiri wake ni wa kutisha ambao ni zaidi ya utajiri wa Bill Gates (4) na Warren Buffet (9) ukiunganishwa pamoja. Bill Gates ni number 4 na Buffet ni number 9 kwa utajiri duniani.
Elon Musk ambae ni muanzilishi wa Tesla na SpaceX amejikuta anakuwa na utajiri wa kutisha baada za hisa za makampuni yake kupaa kwa 33% na kuuza kwa dollars za Marekani Billion 100.View attachment 1977916
Cha kushangaza mwaka jana kama sasa hivi Elon Musk hakuwepo top ten ya billionaire na wakati huo Jeff Beezos aliongoza sana akiwa na 113 billion dollars.
Magari ya Tesla sasa hivi yanauzika kama Njugu hadi Uingereza, China na Ujerumani Tesla imeongoza kwa mauzo miezi mitatu mfululizo toka mwezi wa saba.
Soma zaidi kwa Kiingereza kwa kubofya hapo chini.
Elon Musk's wealth hits $230 billion and is now world's richest person
Elon Musk has now outstripped former richest person, Amazon founder Jeff Bezos, who didn't appear to have a care in the world on Sunday as he enjoyed a day out with Laura Sanchez.www.dailymail.co.uk
"We r launching Tesla Semi-Auto",Kampuni zake zinatoa huduma gani?
Hatuchelewi.Kuna watanzania watawazaa watoto na kuwaita ELON
Unajua hesabu wewe? Huyo namba 4 ukijumlisha huyo namba 9 hawamfikii namba moja?Nitamuomba Musk anikopeshe dollar million moja tu nifanye maajabu.
Kwani viwanda vya uzalishaji/kusafisha Mafuta havitumii Umeme? Apo ndio utajua kati ya Mafuta na Umeme kipi ni Bab KubwaMkuu hivi inawezekana je technolojia izidi hela mafuta. Bado hii kitu inanishangaza kwasababu mafuta siyo mchezo.
Elezea kidogo mkuuSimpendi huyu mtu.ana dhamira fulani ovu kwa ulimwengu.
Mawazo ya kuomba Ni ya hovyo Sana. Yeye siyo bank kutombwa mikopo.Nitamuomba Musk anikopeshe dollar million moja tu nifanye maajabu.
Mkuu mafuta ndo utajiri wa dunia ni vile wa marekani hawa waingizi waarabu kwenye izi issue za matajirii...kigezo chao namba moja wanasema waarabu wamerithi uo utajiri hawajautafuta,..lait wangekua wanaingizwa kwenye izii record nadhani wangeshika namba 1 paka 100 wote waarabuu....Mkuu hivi inawezekana je technolojia izidi hela mafuta. Bado hii kitu inanishangaza kwasababu mafuta siyo mchezo.
Mkuu mafuta ndo utajiri wa dunia ni vile wa marekani hawa waingizi waarabu kwenye izi issue za matajirii...kigezo chao namba moja wanasema waarabu wamerithi uo utajiri hawajautafuta,..lait wangekua wanaingizwa kwenye izii record nadhani wangeshika namba 1 paka 100 wote waarabuu....
Waarabu ni nyooko saana kwenye utajirii mkuu...
Huyu mukesh ambani ndio yule mmiliki wa tata amaMzuka wanajamvi!
Elon Musk ni tajiri namba moja sasa hivi duniani baada ya kumpita Jeff Beezos wa Amazon na utajiri wake ni wa kutisha ambao ni zaidi ya utajiri wa Bill Gates (4) na Warren Buffet (9) ukiunganishwa pamoja. Bill Gates ni number 4 na Buffet ni number 9 kwa utajiri duniani.
Elon Musk ambae ni muanzilishi wa Tesla na SpaceX amejikuta anakuwa na utajiri wa kutisha baada za hisa za makampuni yake kupaa kwa 33% na kuuza kwa dollars za Marekani Billion 100.
View attachment 1977916
Cha kushangaza mwaka jana kama sasa hivi Elon Musk hakuwepo top ten ya billionaire na wakati huo Jeff Beezos aliongoza sana akiwa na 113 billion dollars.
Magari ya Tesla sasa hivi yanauzika kama Njugu hadi Uingereza, China na Ujerumani Tesla imeongoza kwa mauzo miezi mitatu mfululizo toka mwezi wa saba.
Soma zaidi kwa Kiingereza kwa kubofya hapo chini.
Elon Musk's wealth hits $230 billion and is now world's richest person
Elon Musk has now outstripped former richest person, Amazon founder Jeff Bezos, who didn't appear to have a care in the world on Sunday as he enjoyed a day out with Laura Sanchez.www.dailymail.co.uk
Na watu wanashangilia ni kama ligi vile binadamu hatupaswi kuwa na ubinafsi kiasi hichoHow the hell does one man have 100 billion dollars and we still have people on the street that are broke?
Dax
Man every goat must...........................How the hell does one man have 100 billion dollars and we still have people on the street that are broke?
Dax
Sema sakafuniAisee chalii yangu kwa shemeji siondoki dada kamleta beki tatu pisii balaa tunagombania remote balaa sometimes tunadondoshana hadi chini kwenye carpet.