Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
Ile kitu cha dogdog?
hiyo kitanda ya banco ni full mneso...kama upo ndani ya V8.
teremkaa tukaze ni kitanda cha miti hicho, hakina chaga bali kimetandazwa kamba kama nyavu za Kiberaaa
...dah!
Eti V8.
Shem una balaa wewe cjakupatia mwenzako.
ushakusikia kitanda chawekwa maji moto au baridi Madame B?
Hvyo mbona vipo vingi tu mahotelini?
Ushawahi ona kitanda ambalo bed-cover yake ni Up.upu?
upup.u tena duh!...shem mie nakabidhi lindo hapa, sasa narudi home thanks for keeping me company, msalimie huyo Loya mwambie aache kukoroma hadi huku nasikia
Lala Ukue Wewe..!!!
Sasa mkiva mtu ameshakukataa bado unang'ang'ana nae tu....ya nini? Si umwache tu.
Au unataka akija um-bake nini?
Sawatu hujakosea.napia nahtaji elzabeth dominic ndie anilete huko kwenye huo ulimwengu wenu
....haya angalia lakini usije kuwa kama mfuasi wa Kibwetere wa Uganda.
Muache akomae nae banaa, hata fisi huwa anafuata mkono anasubiria uanguke. Fuata kaka ila usiteremshe udenda hadharani.
hiyo kitanda ya banco ni full mneso...kama upo ndani ya V8.
teremkaa tukaze ni kitanda cha miti hicho, hakina chaga bali kimetandazwa kamba kama nyavu za Kiberaaa