MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Okay so wanaogombea kuingia kwenye siasa kumbe wote waliharibu au hawakuwa wakifanya vizuri huko walikotoka? Jamani wengine ni ambitions zao na wanapanga kuwa ikifika miaka kadhaa lazima niingie kwenye siasa. Na wengine wanajiotosa kwa nia ya kuokoa jahazi baada ya kuona viongozi wanacheza makida madarakani.
Nakubaliana nanyi mnaosema hafai na Mkuu Filipo umesema sumu haijaribiwi kwa kuionja but mpaka sasa hamjatupatia concrete reasons za kwa nini nasie tusiomjua huyu Kaaya tumwone hafai? Hebu wakuu tusaidieni profile yake hasa ya kiutendaji, accountability, ufirmness wake katika maamuzi au kutetea hoja.
Nakubaliana nanyi mnaosema hafai na Mkuu Filipo umesema sumu haijaribiwi kwa kuionja but mpaka sasa hamjatupatia concrete reasons za kwa nini nasie tusiomjua huyu Kaaya tumwone hafai? Hebu wakuu tusaidieni profile yake hasa ya kiutendaji, accountability, ufirmness wake katika maamuzi au kutetea hoja.