Elishilia Kaaya, Joshua Nassari na Vincet Nyerere (Mb) wakutana kwa siri

chachana

Member
Aug 4, 2011
57
92
Kikao hiki kimefanyika jana huko meru kwa moja ya makada wa chadema.
Elishilia kaaya ameamua kuweka ukada wa chama pembeni na kuamua kusapoti ukweli na inasemekana anamuunga mkono mgombea wa chadema na ameahidi kumsaidia.
Hata hivyo wafuatiliaji (askari wa chama) wa CCM wanafuatilia nyendo za elishilia kaaya na ndio waliovujisha habari ya kikao hicho kilichofanyika jana saa tano usiku mpaka saa saba usiku. wafuatiliaji hao kwa hamaki walimjulisha kiongozi wa ccm wa kata hiyo na kisha mchezo mzima ukaharibika.
 
Hata wakikutana kwa dhahiri hapo jua hakuna kitu. kwa hao jueni mapema jimbo mmelitoa sadaka. na wasiwasi kuwa kura mtakazo pata zitakuwa chache sana ukilinganisha na za Igunga. Poleni sana kwa kujiaminisha kuwa hiyo ndiyo timu ya kuwaletea ushindi. Mlio wengi wafuasi wa CDM nafsi zenu zimesha wapa picha halisi ya Arumeru kuwa mnaenda kutalii na kujibomoa zaidi.
 
Ni kweli kikao hicho kimefanyika Leganga na alitoa barua iliyoandikwa na uhamiaji kwa ajilia ya kupeleka pingamizi la Siyoi kuwa siyo Raia na pia amekabidhi Nyaraka nyingi muhimu kwa ajili ya kuhakikisha ushindi wa CHADEMA kikao kimefanyika Transit in kari bia na CRDB
Chanzo changu cha Habari kimenitonya pia Mwigulu ndiye mpangaji wa mpango mzima maana sekretariet ya Chama haipo na Siyoi,Mwigulu na Kaaya walitekeleza agizo kutoka juu ambalo walipewa kwa simu na Jenista Muhagama
 
Ni kweli kikao hicho kimefanyika Leganga na alitoa barua iliyoandikwa na uhamiaji kwa ajilia ya kupeleka pingamizi la Siyoi kuwa siyo Raia na pia amekabidhi Nyaraka nyingi muhimu kwa ajili ya kuhakikisha ushindi wa CHADEMA kikao kimefanyika Transit in kari bia na CRDB
Duh, kijana awe mwagalifu sana lest they poison him like they did to Mwakyembe.
 
Kikao hiki kimefanyika jana huko meru kwa moja ya makada wa chadema.
Elishilia kaaya ameamua kuweka ukada wa chama pembeni na kuamua kusapoti ukweli na inasemekana anamuunga mkono mgombea wa chadema na ameahidi kumsaidia.
Hata hivyo wafuatiliaji (askari wa chama) wa CCM wanafuatilia nyendo za elishilia kaaya na ndio waliovujisha habari ya kikao hicho kilichofanyika jana saa tano usiku mpaka saa saba usiku. wafuatiliaji hao kwa hamaki walimjulisha kiongozi wa ccm wa kata hiyo na kisha mchezo mzima ukaharibika.

Mkuu siamini hili. Jamaa yuko AICC na anajua mwenzake aliyekuwa mwalimu kule kwa wazazi alitimuliwa! Huenda ni kachero. Handle with care at your own risk.
 
Ni kweli kikao hicho kimefanyika Leganga na alitoa barua iliyoandikwa na uhamiaji kwa ajilia ya kupeleka pingamizi la Siyoi kuwa siyo Raia na pia amekabidhi Nyaraka nyingi muhimu kwa ajili ya kuhakikisha ushindi wa CHADEMA kikao kimefanyika Transit in kari bia na CRDB
Chanzo changu cha Habari kimenitonya pia Mwigulu ndiye mpangaji wa mpango mzima maana sekretariet ya Chama haipo na Siyoi,Mwigulu na Kaaya walitekeleza agizo kutoka juu ambalo walipewa kwa simu na Jenista Muhagama
Mkuu, hili sio jambo rahisi kiiivooo,
yani kwamba kamati kuu ya CCM isipomtaka mtu, basi imuuze kwa wapinzani, na wapinzani wanunue kirahisi hivyo!

No F way.
 
ccm wameisha soma dalili wameona maji in malefu na hakuna mtu wa kuvuliwa hijab ili kuokoa jahazi sasa wanaandaa mazingira ya kuelezea sababu za kushindwa
 
CHADEMA KUMPA KAMANDA VICENT NYERERE MTIHANI ARUMERU MASHARIKI:
SIFA NADRA ZINAVYOZIDI KUDHIHIRISHA KWAKE KULE ARUMERU MASHARIKI WATANZANIA TUJUE MWALIMU KAFUFUKA UPYA BUTIAMA KWA PICHA YA HUYU KIJANA NA JOHN MNYIKA WOTE WA CHADEMA


CHADEMA kwa uhakika Tanzania nzima imefurahishwa kwa namna mnavyompa uzoefu wa hali ya juu ki-uongozi kijana wetu mpendwa Vicent Nyerere.

Mbali na nyinyi kumpa mtihani kule Arumeru Mashariki, hadi sasa tunachokiona kwake ni pamoja na:

1. Ubunifu wa hali ya juu namna gani kuwa Kampen Manager hodari,

2. Uwezo mkubwa wa kushirikiana na wenzie pamoja na wenyeji wa Arumeru,

3. Kucheza kama mwana-timu na wala katu hakimbii na mpira wa kisiasa uwanja mzima goli hadi goli kama Maradona enzi hizo,

4. Hajajiruhusu kuwa mfungwa wa kujiona mtu mwenye upekee wowote ule,

5. Kwake siasa za majungu na fitna katu,

6. Hupokea maelekezo na kufanya mara tatu ya ufanisi uliotarajiwa,

7. Hajitokezi sana kwenye vyombo vya habari na hupenda kuka 'viti vya nyuma' na wala si kujikweza,

8. Hashiriki siasa za sura-mbili na majungu kwa wakati mmoja ... yaani huyu kijana!!!

.... Wengine huku nje ya uwanja tunaoendele kumsoma bila ya yeye kujua lolote lile wenzenu tunajihisi kama vile mbali na misimamo thabiti ya Mhe Makongoro Nyerere kule Mara hidi ya mdugu UFISADI, kwake huyu kijana kila leo tunazidi kumuona Baba wa Taifa Julius K. Nyerere kazaliwa upya katika nyumba yetu.

Kwa tathmini zangu hizi juu yake tena bila upendeleo wowote; wenzangu ngojeni mtaona huko mbele ya safari. Ndani ya CHADEMA kuna nyota ya mashariki na ishara zake zote.

Ndio, nasema hivi kijana huyu afundishwe kitu
UONGOZI WENYE UADILIFU uliotukuka maana hiyo ndio bidhaa kubwa ajabu iliokosekana Tanzania hadi leo hii na kufanya chama hiki pekee ndicho kibakie tumaini la MWISHO kwetu sisi wananchi tusiokua na kitu!!
 
Ni kweli kikao hicho kimefanyika Leganga na alitoa barua iliyoandikwa na uhamiaji kwa ajilia ya kupeleka pingamizi la Siyoi kuwa siyo Raia na pia amekabidhi Nyaraka nyingi muhimu kwa ajili ya kuhakikisha ushindi wa CHADEMA kikao kimefanyika Transit in kari bia na CRDB
Chanzo changu cha Habari kimenitonya pia Mwigulu ndiye mpangaji wa mpango mzima maana sekretariet ya Chama haipo na Siyoi,Mwigulu na Kaaya walitekeleza agizo kutoka juu ambalo walipewa kwa simu na Jenista Muhagama
Muafaka wa majeraha ya uchaguzi imeshindikana sasa "wenyewe" wameamua bora wote tukose!
 
Mtu yoyote toka kwa magamba ni wakuangalia sana kwasasa..hata kama ameamua kujiunga nasi ni wa kuangalia sana hawa..huu ni wakati wa mapambano,tupo vitani hatupaswi kufanya kolabo na mtu ambaye hatuna uhakika nae.
 
Mtu yoyote toka kwa magamba ni wakuangalia sana kwasasa..hata kama ameamua kujiunga nasi ni wa kuangalia sana hawa..huu ni wakati wa mapambano,tupo vitani hatupaswi kufanya kolabo na mtu ambaye hatuna uhakika nae.

Katika mambo ya kivita adui akijisalimisha inabidi awekwe kwanza kando asije akawa ametumwa. Tena hivi sasa kuna watu wa kujilipua basi hata katika siasa unaweza kukuta wapo wa kujilipua siyo kwa mabomu bali kisiasa na kuchukua strategy zenu kwa ajili ya adui. Hii ni kwa vyama vyote.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ni kweli kikao hicho kimefanyika Leganga na alitoa barua iliyoandikwa na uhamiaji kwa ajilia ya kupeleka pingamizi la Siyoi kuwa siyo Raia na pia amekabidhi Nyaraka nyingi muhimu kwa ajili ya kuhakikisha ushindi wa CHADEMA kikao kimefanyika Transit in kari bia na CRDB
Chanzo changu cha Habari kimenitonya pia Mwigulu ndiye mpangaji wa mpango mzima maana sekretariet ya Chama haipo na Siyoi,Mwigulu na Kaaya walitekeleza agizo kutoka juu ambalo walipewa kwa simu na Jenista Muhagama
mgeni wenu.... utawapata wengi sana lakini si wote, vipi umeshafika USA river toka Tanga.
 
Hata wakikutana kwa dhahiri hapo jua hakuna kitu. kwa hao jueni mapema jimbo mmelitoa sadaka. na wasiwasi kuwa kura mtakazo pata zitakuwa chache sana ukilinganisha na za Igunga. Poleni sana kwa kujiaminisha kuwa hiyo ndiyo timu ya kuwaletea ushindi. Mlio wengi wafuasi wa CDM nafsi zenu zimesha wapa picha halisi ya Arumeru kuwa mnaenda kutalii na kujibomoa zaidi.

wacha kutoa mapovu kama ya OMO kwenye kibodi njo uwanjani.mwanaizaya weee
 
Ni kweli kikao hicho kimefanyika Leganga na alitoa barua iliyoandikwa na uhamiaji kwa ajilia ya kupeleka pingamizi la Siyoi kuwa siyo Raia na pia amekabidhi Nyaraka nyingi muhimu kwa ajili ya kuhakikisha ushindi wa CHADEMA kikao kimefanyika Transit in kari bia na CRDB
Chanzo changu cha Habari kimenitonya pia Mwigulu ndiye mpangaji wa mpango mzima maana sekretariet ya Chama haipo na Siyoi,Mwigulu na Kaaya walitekeleza agizo kutoka juu ambalo walipewa kwa simu na Jenista Muhagama

Kama Mwigulu na wenzake walikuwa na ushahidi wa hiyo barua kutoka Uhamiaji, kwanini hawakuipeleka kwenye kikao cha Kamati Kuu ili itumike kama sababu ya kukata jina la Siyoi?

Mwigulu ni Kampeni Meneja wa CCM huko Arumeru, na lengo lake ni kushinda, sidhani kama kuna Kampeni Meneja anaweza kuwa na lengo la kushindwa ili kujitia aibu, kwa sababu once CCM ikishindwa, Meneja wa Kampeni ndio anakuwa wa kwanza kunyooshewa kidole.

Jenista Mhagama ni nani ndani ya CCM? Hayumo hata ndani ya CC, halafu leo ndio atumike kutekeleza hayo maswala?

Post hii ina maswali mengi sana na walakini mkubwa sana. CHADEMA wa hapa jamvini wanaweza kuwa wanafurahia lakini kumbe ni uongo tu.
 
Ingekuwa Nape ndo kampeni meneja habari hii ingekuwa na ukweli japo kiduchu. Ila kama ni Mwigulu Nchemba nimjuaye mimi, hii habari hata Shigongo angeipotezea kwenye magazeti yake ya udaku
 
Back
Top Bottom