Nimesoma kwenye magazeti ya leo hii kwamba wanaowania uongozi wa CCM mkoa wa Arusha wamechukua fomu na kuzirejesha na kwamba zitajadiliwa na mapendekezo kupelekwa kwa CC na NEC kwa ajili ya baraka za mwisho. Uchaguzi ni 1/11, na kesi ya akina Mollel itatajwa tena 30/10 na kwamba upelelezi bado unaendelea, kwa hiyo hawawezi kugombea kwa kuwa mpaka tarehe ya uchaguzi kesi itakuwa bado haijatolewa hukumu na hivyo tuhuma zinazowahusu zitakuwa bado ziko pale pale.
Hiyo ni plan ya wana mtandao kuhakikisha kwamba Arusha inashikwa na wana mtandao?????? Kwanini uchaguzi usisubiri mpaka kesi iishe? Kwenye katiba ya CCM kuna fursa inayomruhusu mgombea kusimamisha uchaguzi mpaka kesi ya msingi iishe? Kwanini hao watu wamenyimwa haki yao ya msingi ya kuomba kuchaguliwa kama viongozi wa chama chao cha siasa? Mtu akisema CCM sasa hivi inaongozwa kiujanja ujanja tu na wana mtandao atakuwa amekosea au atakuwa amewasingizia akina JK na wahuni wenzake??
Hiyo ni plan ya wana mtandao kuhakikisha kwamba Arusha inashikwa na wana mtandao?????? Kwanini uchaguzi usisubiri mpaka kesi iishe? Kwenye katiba ya CCM kuna fursa inayomruhusu mgombea kusimamisha uchaguzi mpaka kesi ya msingi iishe? Kwanini hao watu wamenyimwa haki yao ya msingi ya kuomba kuchaguliwa kama viongozi wa chama chao cha siasa? Mtu akisema CCM sasa hivi inaongozwa kiujanja ujanja tu na wana mtandao atakuwa amekosea au atakuwa amewasingizia akina JK na wahuni wenzake??