Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
hao magamba ambao sio makapi ni wa kina nani? Nape? Mukama? Six? Mwakyembe au Kilango?Makapi yote ndani ya CCM aka losers yanakimbilia CDM.
CCM inabaki na wale wote walio bora!
hao magamba ambao sio makapi ni wa kina nani? Nape? Mukama? Six? Mwakyembe au Kilango?Makapi yote ndani ya CCM aka losers yanakimbilia CDM.
CCM inabaki na wale wote walio bora!
Ukiwa muongo una dhani wote tu waongo kama wewe, aliekwambia waliweka pozi wapigwe picha nani? nilitumia utundu kuweza kupata picha hii ndyo maana hata haionekani vizuri na kama una bisha waulize kama hawa kukutana na Lema usiku wa kuamkia jana pale Impla au uliza mtu alioko pale Impala kama hawa kuwepo pale...mimi naamini wewe kama pasco una mtandao una weza kuzipata habri hizi ukitaka.....hivyo fanya uchunguzi badala ya kukimbilia kusema uongo......au picha ya ukweli ni ya kushika mikono JK na Dr Slaa....Huu ni uwongo mtakatifu!.
Comon sense logic haikubali dhana ya hawa vijana kukutana na Lema Impala mahali ambapo ni open na wakapose kupigwa picha!.
CCM bado haijafanya uteuzi rasmi hivyo madogo hao hawawezi kutishia nyau!. Wana CCM wote wanajua rushwa is the order of the day katika kutafuta uongozi wowote top to buttom, sasa hiyo tisha toto wanataka wamtishe nani?!.
Picha ni picha tuu, haiwezekani ikawa walipiga zamani ila wewe ndio umeitia picha maneno ambayo sio?!.
Wanagonga Grants,siasa za bongo hadi pombeni
this is just a story. Hamna popote wamedeclare kuwa wanaihama CCM. Wakifikia stage ya kukimbia CCM regardless wamepata kura ngapi, tutawagroup kwenye kundi la walafi wa madaraka na makapi. Kwenye demokrasia ya kweli lazima ukubali kushinda na kushindwa.Hawa vijana wenu machachari kabisa mnawaita makapi?
Kweli hamna maana nyie watu!
Watu wamepata kura 200+ unawaita makapi?
hata aliyekutuma hapa akiona hii lazima atakuita kukukemea.
Niwekee bandiko moja tu ambalo niliweka na mwisho wa siku ikaonekana ni uongo na kama ukikosa utakuwa umezihilisha kuwa wewe ni ma.akobrain....Katika watu ambao huwa hawaaminiki humu JF hata kwa kuliko punje ya mchanga ww uwa humo, kwa mashaka na picha yako lazima yawepo makubwa sana tu
Makapi yote ndani ya CCM aka losers yanakimbilia CDM.
CCM inabaki na wale wote walio bora!
Ndio ukweli huo...mangi unachekesha kweli ujue
Kushindwa kupo hata sisi chadema tuna chaguzi zetu tatizo lenu MAGAMBA/MAFISADI/WAUWAJI mnatumia rushwa na namoja ya sifa ya mgombea wa CCM ni uwe fisadi unae jua kutoa rushwa kwa kwa kiwango cha juu hili nawaombeeni mliweke kwenye katiba yenu..huwezetu tu kusema na hamia chama furani wakikukataa lazima uombe na ndicho wanacho kifanya.....this is just a story. Hamna popote wamedeclare kuwa wanaihama CCM. Wakifikia stage ya kukimbia CCM regardless wamepata kura ngapi, tutawagroup kwenye kundi la walafi wa madaraka na makapi. Kwenye demokrasia ya kweli lazima ukubali kushinda na kushindwa.
hadi waliposhindwa uchaguzi ndipo wanajua kuwa CCM mbaya!!! Chadema wanatakiwa kuwa makini sana kupokea wanasiasa wa aina hii.
Hatutaki wanachama wa hasira......Shibuda anatosha
Lakini sababu waliyoitaja sio kushindwa ila matumizi ya rushwa,jambo ambalo kwa CCM ni dhahiri. Na mtu kama hukubaliani na matumizi ya rushwa una haki ya kujitoa.this is just a story. Hamna popote wamedeclare kuwa wanaihama CCM. Wakifikia stage ya kukimbia CCM regardless wamepata kura ngapi, tutawagroup kwenye kundi la walafi wa madaraka na makapi. Kwenye demokrasia ya kweli lazima ukubali kushinda na kushindwa.
Shibuda anatosha!!!