kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
photoshop.....picha ya kuunga kwa kompyuta angalia kwa makini kwa wataalamu wa picha za photoshop.
Hamna kitu kama hicho ktk hiyo image... Sema inakuuma kuckia wanajiunga CDM.. POLE
photoshop.....picha ya kuunga kwa kompyuta angalia kwa makini kwa wataalamu wa picha za photoshop.
Siku chache baada ya kuchakachuliwa hatimae vijana wawili Elirehema Kaaya na Wiliamu Sarakikya watangaza nia ya kuhamia Chadema kama uchaguzi hautafanyika upya.
Walisema uchaguzi uliofanyika rushwa ilitumiaka kwa kiwango cha juu sana, hivyo hawako tayari kuendelea kukaa kwenye chama cha mafisadi wanaotumia kodi ya wananchi kujinufaisha kwa faida ya familia moja wameahidi kama uchaguzi usipo rudiwa basi wana hamia chadema kwenye chama makini na kuwahakikishia jimbo hilo linaenda chadema, haya yalijitokeza usiku wa kuamukia jana baada ya kuamua kukutana na kamanda Godbless Lema kwenye hotel ya Impala ilikuangalia uwezekanao wa kuhamia Chadema.
Nilifanikiwa kujipenyeza na kuchukua picha ingawa haionekani vema.
Wa kwanza kulia ni Elirehema Kaaya katikati ni Kamanda Godbless Lema na kushoto ni Wiliam Sarakikya.
wakiwa kwenye kikao cha siri hoteli ya Impala Hotel.
Very astonishing! I have never seen such a secretive mission as mentioned by the informer being attended by the journalist! On top of that, the agent and the principal pausing for a public evidence (photo)!
JamiiForums should revitalize its rules otherwise it is being forced to become the platform for Growing Sinkers
Hawa vijana wenu machachari kabisa mnawaita makapi?Makapi yote ndani ya CCM aka losers yanakimbilia CDM.
CCM inabaki na wale wote walio bora!
Crashwise asante kwa kutubarisha.Tatizo lako mulisha zoea Photoshop za Kikwete hivyo kila ukiona picha una dhani ni Photoshop pole sana fatilia kama juzi hawa kuwa Impala hotel.....
Seriously, are you gay?Usijali kesho kutwa si ndio waja kuwa +ke wangu, nitajifundisha kiswahili kwako wakati wapewa mambo
hadi waliposhindwa uchaguzi ndipo wanajua kuwa CCM mbaya!!! Chadema wanatakiwa kuwa makini sana kupokea wanasiasa wa aina hii.
Pasco mbona unajichanganya...mwanzo umesema ni uongo baadae ukasema wanamtisha nani kwa hiyo unakubali ni kweli?Huu ni uwongo mtakatifu!.
Comon sense logic haikubali dhana ya hawa vijana kukutana na Lema Impala mahali ambapo ni open na wakapose kupigwa picha!.
CCM bado haijafanya uteuzi rasmi hivyo madogo hao hawawezi kutishia nyau!. Wana CCM wote wanajua rushwa is the order of the day katika kutafuta uongozi wowote top to buttom, sasa hiyo tisha toto wanataka wamtishe nani?!.
Picha ni picha tuu, haiwezekani ikawa walipiga zamani ila wewe ndio umeitia picha maneno ambayo sio?!.
Dah! umetiacha sie wa kwa mndolwa!!Very astonishing! I have never seen such a secretive mission as mentioned by the informer being attended by the journalist! On top of that, the agent and the principal pausing for a public evidence (photo)!
JamiiForums should revitalize its rules otherwise it is being forced to become the platform for Growing Sinkers
Usiangalia kukimbia kwao angalia sababu maadai ya hawa jaama ni rushwa kwenye chaguzi za CCM hivyo kama wewe kambi yako haina pesa kama za Lowasa basi huna nafasi CCM....na chadema ni chama cha watu wa zalendo, wenye utajiri wa kati, masikini......ila hatutaki mafisadi....Makapi yote ndani ya CCM aka losers yanakimbilia CDM.
CCM inabaki na wale wote walio bora!