Elin Martinez: Interesting to see Minister Ndalichako of Tanzania at the plenary at Global Education Summit 2021

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,637
6,056
Jamaa wanatushangaa sana mwaka huu kuliko mwaka jana na juzi, na wanatunza kumbukumbu sana. Wanashangaa na kujiuliza where do we stand. Inaonekana Mh. Ndalichako kwa msimamo wetu hakupaswa kuwa pale.



Elin Martínez is a Senior Researcher in the Children’s Rights Division of Human Rights Watch, where she focuses on the right to education.

 
Tofauti ya Ndalichako na Dorothy Gwajima siioni .

Miaka hii miwili Tanzania imegeuza dishi kimaajabu sana
 
Tofauti ya Ndalichako na Dorothy Gwajima siioni .

Miaka hii miwili Tanzania imegeuza dishi kimaajabu sana
2864162_1627680795167.png
 
When did Tanzania start denying girls access to public education?! Kweli kuna watu hawalitakii mema taifa hili.
 
Wee ulikuwa wapi mkuu? Nchi hii kweli?
Don't we have girls in public education institutions?! Unakubaliana na hao waliotaka Tanzania ionekane machoni pa dunia kama Afghanstan ilivyokuwa chini ya Taliban?
 
Don't we have girls in public education institutions?! Unakubaliana na hao waliotaka Tanzania ionekane machoni pa dunia kama Afghanstan ilivyokuwa chini ya Taliban?

Unazungumzia kina nani, au hawa waliotupa chanjo tukaipokea huku tukiwaita mabeberu?
 
Unazungumzia kina nani, au hawa waliotupa chanjo tukaipokea huku tukiwaita mabeberu?
Swali langu ni kama hatuna wasichana wanaosoma kwenye shule za serikali. Au hiyo kauli hapo chini wewe umeielewa vipi!

"Also, one of GPE countries that openly deny girls access to public edu"
 
Samia alisema anatufungulia dunia, ila huku ndani anatufunga kwa kutubambikia kesi za uongo.
 
Don't we have girls in public education institutions?! Unakubaliana na hao waliotaka Tanzania ionekane machoni pa dunia kama Afghanstan ilivyokuwa chini ya Taliban?

Ni kweli kwamba wasichana waliopata mimba za utotoni walizuiwa kurudi shule kusoma?

Unayajua mazingira ya vijijin jinsi yalivyo na risk za watoto wa kike?

Inawezekana umekulia sehemu ambazo hamna shida ya kufika shuleni au hujui changamoto za watoto wa kike au wakati policy inapitishwa mtoto akipata mimba public schools harusiwi kuingia!

Ni hayo tu,
 
Kilichokataliwa ni watu wazima waliojifungua watoto kurudi kuchangamana kwenye shule za watoto, hawajazuiwa kujiendeleza kwenye vyanzo mbadala vya kutoa elimu.
 
Back
Top Bottom