Elimu yetu

msembezu

Senior Member
Aug 18, 2014
179
29
bbfd90fe13ee6ce5a9ba63f80a28e4f7.jpg
 
Si ndio maana tunapata mawaziri wanaosema Tanzania ni muungano wa Zimbambwe na.....
 
Hivi vibao vinachorwaga na kuandikwa na artist na maatirst wengi shule hamna, Yaani kashindwa hata kunakili kwenye karatasi aliyopewa! Ila hata mkuu wa site hakukagua? Hili ni kosa la uongozi! Iweje utoe kazi ushindwe kukagua kama imefanywa kwa ufasaha? Huu ndio uzembe ambao unaturudisha nyuma! Na hii inareflect hata huo ujenzi unaofanyika hapo ni bure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom