Profee Essoree
Member
- Sep 14, 2011
- 36
- 5
Hivi sisi kama wadau wa hapa TanzaniaKwetu suala la elimu kwa QT na Elimu ya juu,itafika siku kweli ikawezekana kuwa online?
Hivi sisi kama wadau wa hapa TanzaniaKwetu suala la elimu kwa QT na Elimu ya juu,itafika siku kweli ikawezekana kuwa online?
nizitoe wapi,me nataka nione idea toka bongo sio kila ki2 tunapaste!kama zipo we zimwage tu!inawezekana mfano c udsm mbona wameianza au unataka kutoa idea mpya juu ya hilo?