Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,014
- 7,772
Elimu yetu inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya Kiingereza.
Wakuu naomba tusaidiane, hii sentensi inamaana gani? Yaani nikiwa naama kwamba wewe umeilewaje?
Kama tunapenda maendeleo ya kiuchumi kupitia elimu yetu tunapaswa kufanya jambo katika elimu yetu.
Pamekua na minong'ong'ono mingi kwamba elimu yetu ni ya vyeti tu ikiwa naama kwamba watu wanakariri tu na wala hawaelewi.
Maswali
Je, ni kwanini elimu yetu ni ya vyeti?
Je, ni kwanini wanafunzi hawaelewi?
Je, ni kwanini wanafunzi wanakariri?
Karibuni
Wakuu naomba tusaidiane, hii sentensi inamaana gani? Yaani nikiwa naama kwamba wewe umeilewaje?
Kama tunapenda maendeleo ya kiuchumi kupitia elimu yetu tunapaswa kufanya jambo katika elimu yetu.
Pamekua na minong'ong'ono mingi kwamba elimu yetu ni ya vyeti tu ikiwa naama kwamba watu wanakariri tu na wala hawaelewi.
Maswali
Je, ni kwanini elimu yetu ni ya vyeti?
Je, ni kwanini wanafunzi hawaelewi?
Je, ni kwanini wanafunzi wanakariri?
Karibuni