Elimu yangu na Tanzania. Nataka kuisaidia TZ

abduel paul

Senior Member
Nov 23, 2010
133
5
Wasomi wengi tanzania hawana faida wala msaada wowote katika taifa letu. Isipokuwa kwa wanasiasa, Je kwa kuanzia vyuoni, nini faiada ya msomi wa leo? KIFANYIKE NINI MSOMI AWE NA NAFASI YAKE TZ?
 
Kuna chuo chochote kina forums zinazojadili matatizo ya nchi hii? Na namna ya kuyatatua? Au Elimu inayopatikana ni ya kwenda kuombea kazi tu?? Mchango wako uko wapi msomi ungali ukiwa chuo pale ambapo unakilemba cha kusikilizwa.
 
wasomi wa tanzana ni mambumbumbu wakiwa chuoni.... wamawzo ya kuisadia nchi ya nakuja baada ya kusota mtaani.. wakikosa ajira... hapa ndipo wanaanza kujikita kujadili matatizo ya nchi... wakiwa vyouni wanawaza kuongezewa posho na kuratibu migomo isiyokuwa na tija.... pindi wakiwa chuoni wanaheshimika na wanasikilizwa lakin ukimaliza we ni mwa tu, kile kilemba cha kuongea kinatoka.... so you got no where to go, no hwere to raise your voice....
 
Hata sielewi hii thread yako imefanikiwa vipi kufika hapa.
<br />
<br />
Take ur time, the ones pass it they found sense in it, najua una amini siasa pekee itatukomboa, ipo Elimu hapa ni bunduki inayosukumizwa uvunguni kila uchwao na hali bunduki nxingine zinatengenezwa, vta hii ya maisha bora, itawezekana tu, pale ambapo waTz, Tutakumbuka kuacha silaha butu ya maneno (siasa) kwa muda,
 
<font size="3">we una elimu gani?</font>
<br />
<br />
Mi nilidhani utashtuka kutoka usingizini? Maana kama nitakwambia nimemaliza la saba, utasema we chuo kikuu, nikisema chuo kikuu, utasema we chuo kitukufu, nikisema ni Masters we utasema una PHD, mwisho wa cku 2taulizana vyeti na kutaka kwenda kuvihakiki, hatari kuliko yote tutaulizana maswali ya hesabu, HUKU TAIFA LINAMEZWA NA WANASIASA, UNAONAJE TUKIDAI NAFASI YETU TUWA AMBIA, WE NEED 2 B RECOGNIZED, WE Want 2 claim bk our chances, wht hs failed 2 b sorted by politicians, shld b sorted by Education, nt everythng nid a wise thoughts, smthng nid principles & procedures, Una hoji Elimu yangu hali kuna waziri wa nishati alisema umeme ungewaka mfululizo mwezi July!! Kwnn alisema hv?,
 
wasomi wa tanzana ni mambumbumbu wakiwa chuoni.... wamawzo ya kuisadia nchi ya nakuja baada ya kusota mtaani.. wakikosa ajira... hapa ndipo wanaanza kujikita kujadili matatizo ya nchi... wakiwa vyouni wanawaza kuongezewa posho na kuratibu migomo isiyokuwa na tija.... pindi wakiwa chuoni wanaheshimika na wanasikilizwa lakin ukimaliza we ni mwa tu, kile kilemba cha kuongea kinatoka.... so you got no where to go, no hwere to raise your voice....
<br />
<br />
Ys Actv, Sasa pengine sisi tumechelea wkt ule tukiwa vxuoni, sasa tumepata mawazo haya, kuna namna yoyote ya juwabadili vijana wetu wangaliko vyouni kuanza kulitumikia taifa na jamii yao, hata wao wawe na faida sana, hawatakua na haja tena ya kuandaa maandamano kwani itakua stahiki yao, hata sisi wananchi na wazazi wenzangu tutawaunga mkono, kwakua sasa wanajadili na kupendekeza kuleta suluhu ktk taifa letu, wazazi na jamii tutajivuna tangu wangali vxuoni,
 
<font size="3">we una elimu gani?</font>
<br />
<br />
Mi nilidhani utashtuka kutoka usingizini? Maana kama nitakwambia nimemaliza la saba, utasema we chuo kikuu, nikisema chuo kikuu, utasema we chuo kitukufu, nikisema ni Masters we utasema una PHD, mwisho wa cku 2taulizana vyeti na kutaka kwenda kuvihakiki, hatari kuliko yote tutaulizana maswali ya hesabu, HUKU TAIFA LINAMEZWA NA WANASIASA, UNAONAJE TUKIDAI NAFASI YETU TUWA AMBIA, WE NEED 2 B RECOGNIZED, WE Want 2 claim bk our chances, wht hs failed 2 b sorted by politicians, shld b sorted by Education, nt everythng nid a wise thoughts, smthng nid principles & procedures, Una hoji Elimu yangu hali kuna waziri wa nishati alisema umeme ungewaka mfululizo mwezi July!! Kwnn alisema hv?,
 
<br />
<br />
Mi nilidhani utashtuka kutoka usingizini? Maana kama nitakwambia nimemaliza la saba, utasema we chuo kikuu, nikisema chuo kikuu, utasema we chuo kitukufu, nikisema ni Masters we utasema una PHD, mwisho wa cku 2taulizana vyeti na kutaka kwenda kuvihakiki, hatari kuliko yote tutaulizana maswali ya hesabu, HUKU TAIFA LINAMEZWA NA WANASIASA, UNAONAJE TUKIDAI NAFASI YETU TUWA AMBIA, WE NEED 2 B RECOGNIZED, WE Want 2 claim bk our chances, wht hs failed 2 b sorted by politicians, shld b sorted by Education, nt everythng nid a wise thoughts, smthng nid principles & procedures, Una hoji Elimu yangu hali kuna waziri wa nishati alisema umeme ungewaka mfululizo mwezi July!! Kwnn alisema hv?,
ka umeona ni jema basi kua wa kwanza kuanzisha movement.................
 
Back
Top Bottom