Elimu ya ulipaji kwenye makapuni ya kuagizia magari

Sep 4, 2014
7
1
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
Screenshot_2021-01-20-10-57-33-43.jpg
 
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883

Clearing wanayomaanisha ni Agent fee(gharama za wakala atakae toa gari bandarini) ambae ni wao wenyewe,gharama nyingine kama kodi,port charges utalipa wewe mwenye aidha kwa kuwapatia walipe ama utalipa bank mwenyewe
 
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
Hizo ni gharama za Beforward pekee. Rungu la TRA na bandari bado.
 
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
Hapana hiyo ina maanisha kwamba be forward watakupa pia huduma ya kukutolea gari bandarini (clearing agent).

Gharama nyingine utakazolipa ni ushuru wa TRA, wharfage, shipping line, port charges na gharama ya kadi na plate no.
 
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
 
Hapana hiyo ina maanisha kwamba be forward watakupa pia huduma ya kukutolea gari bandarini (clearing agent).

Gharama nyingine utakazolipa ni ushuru wa TRA, wharfage, shipping line, port charges na gharama ya kadi na plate no.
inspection fee hmna..?
 
Back
Top Bottom