Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 770
- 2,408
- Thread starter
- #21
asante mkuu..ndio maana pale chini nimeandika haya ni maoni yangu ninayoyapendekeza pamoja na yale yatakayopendekezwa na wachangiaji wengine (ukiwemo wewe)...Asante mkuu.Ushauri wako utakua umekosa mana endapo hujazungumzia 'Uboreshaji wa sekta ya AFYA'...AFYA nimuhimu sana kuliko yote hayo...ongeza kitu hiyo