Elimu ya tanzania ni kweli inamuaanda mwanafunzi kupambana na soko la ajira

Mar 15, 2018
26
36
Soko la ajira limekuwa gumu sana watanzania wengi hushindwa kustahimili soko la ajira na kupelekea ongeza la watanzania wengi wanaomaliza vyuo kwenye ngazi mbalimbali za elimu kukosa ajira na wenye sifa mbalimbali muhimu kwenye jamii na maendeleo ya nchi . Je changamoto ipo wapi ambayo inafanya watanzania wengi kushindwa kustahimili kwenye soko la ajira ndani na nje ya nchi
 
Soko la ajira limekuwa gumu sana kutokana na elimu ambayo mwanafunzi wa shule za kitanzania huanzia darasa la kwanza hadi chuo lakini hushindwa kustahimili soko la ajira na kupelekea ongeza la wanafunzi wengi wanaomaliza vyuo kwenye ngazi mbalimbali kukosa ajira . Je changamoto ipo wapi wadau?
Changamoto ni nepotism + corruption hata kwenye hizo chache zilizopo , na failure ya economic policies iliyosababisha uchumi kudorora Kwa miaka mingi bila kuzalisha ajira .Haya maujinga ya sijui ya kulaumu mfumo WA elimu ni upuuz unaoandikwa na watu wasio na uelewa WA uhalisia WA hili tatizo la unemployment lilivyo hapa nchini Kwa sasa au wajinga flani wanaoamua kuwananga wahanga WA hili tatizo .

Mazingira yenyewe ya self employment hapa nchini ni mabovu na ya ovyo kupindukia , mnaishia kutengeneza taifa la uchuuzi na umachinga ,too bad hata viwanda vya ndani navyo vingi vimekufa . Total economic failure ,that's what is in this country .
 
Soko la ajira limekuwa gumu sana kutokana na elimu ambayo mwanafunzi wa shule za kitanzania huanzia darasa la kwanza hadi chuo lakini hushindwa kustahimili soko la ajira na kupelekea ongeza la wanafunzi wengi wanaomaliza vyuo kwenye ngazi mbalimbali kukosa ajira . Je changamoto ipo wapi wadau?
Mkuu mada yako haieleweki katulize kichwa uandike tena.
Unasema soko la ajira limekuwa gumu,muda huo huo unasema elimu ya Tanzania ndio sababu ya soko la ajira kuwa gumu,muda huo huo tena unauliza wasomaji wakuelezee tatizo ni nini?Sasa hapo tushike kipi tuache kipi?
 
Back
Top Bottom