Sajunne
Senior Member
- Jul 19, 2011
- 104
- 58
Habari zenu wakubwa! Ebana mada iliyonifanya niilete mbele yenu ni inagusa watoto wengi wa maskini ndani ya nchi hii. Je wadau ninaomba kujua na kuelewa utaratibu mzima wa watu wanaofanya mtihani wa 4m four kama resiters, na pia maksi zao za ufaulu upambanuo wake uko vp? Maana suala hili ni zito na linasababisha upoteaji wa direction ya vijana na watu kwa ujumula linatokea tatizo kuwa wamefeli kwa mara ya kwanza.