Ushawishi, motisha ndo mambo ambayo yanainua hali na matamanio ya mtoto kusoma na mzazi kusomesha.
Wanasiasa na serikali Elimu mnaepeleka wapi kama mambo haya mnayafanya nyinyi,
Ajira za Ualimu mnapendelea kuajiri certificate zaidi kuliko ngazi za degree.
Matangazo ya ajira za maafsa watendaji ukomo wa Elimu ni certificate na diploma kwa mbali.
Ajira za Afya ni nursing na clinical officers certificate na diploma ndo wanaoajiriwa kuliko wa degree.
Serikali inayofanya ndivyo na private sector ufanya.
Mbunge anasimama bungeni anasema elimu haina maana wapewe kazi standard seven.
Mambo haya hayashawishi mzazi kuwekeza kwenye Elimu na watoto kusoma kwa juhudi maana hawaoni umuhimu wa kusoma itafikia kipindi wazazi wanalazimisha watoto kusoma certificate.
Watoto huwa na malengo ukimuuliza unataka kuwa nani atakuambia daktari, daktari mwenyewe aajiriwi itamshawishi vipi hali hii.
Wanasiasa na serikali Elimu mnaepeleka wapi kama mambo haya mnayafanya nyinyi,
Ajira za Ualimu mnapendelea kuajiri certificate zaidi kuliko ngazi za degree.
Matangazo ya ajira za maafsa watendaji ukomo wa Elimu ni certificate na diploma kwa mbali.
Ajira za Afya ni nursing na clinical officers certificate na diploma ndo wanaoajiriwa kuliko wa degree.
Serikali inayofanya ndivyo na private sector ufanya.
Mbunge anasimama bungeni anasema elimu haina maana wapewe kazi standard seven.
Mambo haya hayashawishi mzazi kuwekeza kwenye Elimu na watoto kusoma kwa juhudi maana hawaoni umuhimu wa kusoma itafikia kipindi wazazi wanalazimisha watoto kusoma certificate.
Watoto huwa na malengo ukimuuliza unataka kuwa nani atakuambia daktari, daktari mwenyewe aajiriwi itamshawishi vipi hali hii.