junior mzolo
Senior Member
- Jan 26, 2014
- 140
- 7
Hivi kweli elimu yetu inaenda wapi na lbda inategemea nini kwa kutoa matokeo mapema ya kidato cha nne na kuchelewesha selection, ,,,,mi naona haya ndo matokeo ya division five ndo maana wameshindwa hata kufanya mchanganuo katika kupanga selection