Swali la kujiuliza kwanini sisi masikini? Kwani uchina hawakuwa masikini, kwani uingereza na marekani hawakuwa masikini, waliwezaje kufikia mapinduzi ya viwanda na kuweza kujiendeleza katika maeneo yote, najua mwingine atasema walifikia huko kupitia unyonyaji na utumwa Kwa waafrika, ila tujiulize, kwanini na Afrika hatukuweza kuwa na makoloni yetu ulaya , Amerika na Asia, mbali na utajiri waliouiba wasia, waamerika na uchina wakatosheka na wakaonawatupe uhuru?Hilo no kweli. Mtu aliyekariri hawezi kuwa mbunifu. Na huu mfumo wa kusoma kwa kiingereza kuanzia sekondari hauna usawa, unawapendelea matajiri na kuwaweka maskini katika disadvantage.