mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 461
Wananchi Wilayani Kasulu mkoani Kigoma wanaendelea kuchangishwa Madawati mashuleni, baadhi ya wananchi wenye wanafunzi katika shule ya Msingi kidyakidyama wilayani Kasulu wamesema nini maana ya Elimu bure huku wengine wakidai ni wajibu wao.
Mimi nashauri pengine neno Elimu bure libadilishwe litafutwe neno lingine ili kuondoa mkanganyiko kwa wazazi wa watoto au wananchi.
Mimi nashauri pengine neno Elimu bure libadilishwe litafutwe neno lingine ili kuondoa mkanganyiko kwa wazazi wa watoto au wananchi.