Elimu ya Lilian Mbowe

Status
Not open for further replies.
Hivi mama yako mzazi ana elimu gani? Au mkeo ana elimu gani? Maria nyerere ana Elimu gani, mama Mwinui ana elimu gani, mama kikwete ana elimu gani? Nijibu hayo
 
Huyu Mama amkwenda shule haswaa kwanza ungeanza kumpatia heshima yake kwa kuanza na Dr Lilian Mbowe si sawa na wale ma Dr wanasiasa wanaotunukiwa degree za heshima na kuanza kujiita ma Dr hovyo huku mambo wanayoyafanya katika jamii yakizidi kuwavua nguo.Dr Lilian Mbowe ni daktari bingwa kwa maana yakuwa na shahada 2 za udaktari ya magonjwa ya biandamu.
 
Unauliza ili iweje?? Unaonekana wewe ni mwanamme lakini una tabia za kike! Wewe elimu yako tunaijua? Mmemshindwa Mbowe mkaona muanze kumtafuta mkewe!
 
Graveyard hebu njoo huku naona umepata mpinzani hapa, halafu ile thread yako yenye maudhui hayahaya naona imepigwa kufuli ila hii inapeta na mod haohao wapo cool.
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu mama Mke wa Mwenyekiti Mbowe ana kiwango gani cha elimu? nauliza tu!
Mbowe kwa sasa hana mke,mke kamkimbia coz Mbowe kazaa na mbunge wa viti maalumu,viti maalum vya pichu oyeeeeeeee
 
ni daktar wa binadamu ni mama mzuri sana ana miguu mizuriii ,ana pesa ana elimu ana exposure lakin hajivuni hata kidogo pia ni mchakarikaji sana.umri wake na mwonekane wake TAFAUTI anaonekana kigori kwa kuwa anajua jinsi ya kujikipu....SINA UBIA NAE its just ukweli toka moyoni kiroho safeeeeeee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom