Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Mara nyingi nimeona mabandiko humu jukwaani la ajira ya kumhudumia mgonjwa au mzee majumbani. Huku mtaani hitaji hili linaongezeka. Magojwa kama kiharusi huwapata watu wengi na kuna wanao athirika na kuhitaji msaada wa karibu katika kuendesha maisha yao ya kila siku.
Kutokana na uhaba wa ajira ni rahisi kumpata mtu anaeweza kutoa huduma, hasa unapotoa malazi na chakula juu ya mshahara. Watu hawa huwa wengi hawana uwelewa wa kazi. Huwa ni shida tu za maisha. Matokeo yake ni kuhatarisha maisha ya mgojwa.
Wataalamu wakiweka masomo haya VETA itakuwa ni rahisi kumpata mtu mwenye uewelewa hata wa elimu ya msingi ya kumpa sawa anaemhudumia.
Kutokana na uhaba wa ajira ni rahisi kumpata mtu anaeweza kutoa huduma, hasa unapotoa malazi na chakula juu ya mshahara. Watu hawa huwa wengi hawana uwelewa wa kazi. Huwa ni shida tu za maisha. Matokeo yake ni kuhatarisha maisha ya mgojwa.
Wataalamu wakiweka masomo haya VETA itakuwa ni rahisi kumpata mtu mwenye uewelewa hata wa elimu ya msingi ya kumpa sawa anaemhudumia.