Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Communication ni tatizo la kitaifa bongo.
I miss Kuhani at times like these.
By the way hata Jerry naye ana mengi ya kujifunza. Wote walikuwa wanaongea kama wako kijiweni fulani hivi tu.
Jerry anafoka Kova ni mtu mdogo tu, Kova ni RPC wa Dar at that, Jerry yeye ana ukubwa gani wa kusema Kova mdogo?
Mimi najua Elimu yake ni Form Four akajiendleza pale Police Collage DSM akapata Certificate ya Sheria tena ya kubebwa then akajiendeleza na kupata vikozi vidogo vidogo na pia akajiendeleza elimu ya jioni na kupata form six ya div iv. sasa hizi ndio elimu zake ila status inapanda na kuonekana mtu wa maana pale alipokuwa anatumia media hata alivyokuwa mbeya. Na kuhusu ku edit kwanza yeye aandai kitu ni wasaidizi wake na elimu ilivyokuwa ndogo yeye anacopy and paste tu. mwambie ashuke ung'eng'e kama ataweza
Kwani requirements za cheo chake zikoje?? Na yeye anazo hizo requirements au la?
Ni vyema tukaacha ad hominem na kwenda kwenye issues, I mean kama zipo.