Losomich
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 371
- 71
Aisee mbona umechemka sana? degree ya Kikwete imetupeleka pabaya! umedhihirisha kuwa hauko makini na unachokinena..nakushauri usome posting za kwenye JF kisha uzitafakari ujibu ikiwa na uhakika wa unachokiandika..usitupotezee muda wa kusoma pumba zako! (Nimei-highlight red kuonyesha kuwa ni utumbo ulioandika)
Hujamuelewa huyu hapo kwenye post yake katumia bonge la metaphoric language. Hivyo mapovu yamekutoka bure pasipo yeyote.