Elimu ya Godbless Lema utata mtupu

lema ukifuatilia kauli zake utajua kabisa elimu yake haiko clear.

Nini maana ya elimu? Mafisadi wa Elimu wote wana vyeti lakini miaka 50 ya vyeti vyao haijaleta mabadiliko kwetu watanzania. Kama elimu ni za hivyo afadhali hii ya 'street university' inayoweza kuleta mabadiliko walau ya kimtizamo na kifikra. Maana huo ndiyo mwanzo wa kujikomboa na si mawazo mgando ya kukimbizana kuhonga ili watu watunukiwe shahada za udaktari na walazimishe watu kuwaita Doctor so and so.... huku wakijua kabisa hawaja-publish hata makala moja ya kitafiti katika jarida lolote!!!!! Waaibishwe na wafedheheshwe mafisadi wa elimu na siasa za tz.
 
Wazazi nina uhakika na ninacho kisema ,ila wadau wamenikumbusha kidogo, dogo hakupiga maabara alipiga dispensary .......nasiku hiyo ya kutimuliwa alikuwa navusha mzigo asubuhi na mapema ndo akatolewa mkuku...........kibegi chake kikanyakuliwa ila yeye alitoweka ...ukaguzi uka kuta mzigo tosha kwenye sanduku lake ...........Mzee mzima Lema HAKUKANYAGA TENA KOLILA SECH.......................nataka Lema aongee au mtu aliyesoma naye hiyo form four.........

Kumaliza hili zari mtu mzima akaipige jeki Kolila Sech dispensary ...........kwani hay mambo yalitokea sikunyingi sana halafu aweke CV ya ukweli kutubu ni kumheshimu mungu wako.
 
Nafikir hapo yaeza kua typing error. Hata mimi nmewah kukosea kuandika ki2 kwenye CV yangu, na had leo kazin hawajabadlisha. Ni Human Error, tuulize hao kina kikwete na wenzake wanaopewa tu, wanazifanyia nn?? Elim co kipimo cha ujuzi wakt mwingine. Atleast hatuez sema hajasoma, kaondoa ujinga. Hapo tu mnajaribu kujenga hoja ili mumdidimize, eken akilin, Huyu kijana ni chaguo la wananchi, co nyie mnaopewa kichwa na hao baba zenu waizi wakubwa wa hicho chama cha matapeli na majambazi. Na mmemtoa ubunge akigombania tena TUNAMPA!!!! AR shud not be rulled by waizi!! CHADEMA OYEEEEE
 
kwa ukweli kwenye hiyo CV sijauona utata wa kusoma miaka mitatu O Level kwani wapo wengi wamesoma miaka miwili O levl , Advance Mwaka Mmja na sasa ni maprofesa tusiwe na uvivu wa kufikiri. Nchi hii sawa tunahitaji elimu lakini na credibility ya mtu ni muhimu hata akiwa hajasoma.
 
Nini maana ya elimu? Mafisadi wa Elimu wote wana vyeti lakini miaka 50 ya vyeti vyao haijaleta mabadiliko kwetu watanzania. Kama elimu ni za hivyo afadhali hii ya 'street university' inayoweza kuleta mabadiliko walau ya kimtizamo na kifikra. Maana huo ndiyo mwanzo wa kujikomboa na si mawazo mgando ya kukimbizana kuhonga ili watu watunukiwe shahada za udaktari na walazimishe watu kuwaita Doctor so and so.... huku wakijua kabisa hawaja-publish hata makala moja ya kitafiti katika jarida lolote!!!!! Waaibishwe na wafedheheshwe mafisadi wa elimu na siasa za tz.
Mkuu you dont reflect any thinking,
Kwa hiyo tutawaliwe na mambumbumbu kama Lema na Lusinde?
Mchagueni awaendeshee chama chenu mnufaike na street university yake
Umbumbumbu huko huko kwenu.
Juzi tu tumeona umbumbumbu wa Lusinde, twaenda shule za nini?
 
tatizo la ofisi za Bunge upande wa IT, mbona information nyingi za wabunge zimekosewa tena sanaaa. Kama huamini fuatilia taarifa za waheshimiwa wengine ndipo utakapojua
 
Elimu ya LEMA inakuhuuuuuu wewe au ndo kuwashwa huko.
Embufatilia ya MAGWANDA CDM wasomi wanasheria kibao we acha utahila.
 
Wapiga kura wa Arusha walimchagua Lema bila kujali elimu yake, na watampigia kura tena kwa kuangalia utendaji wake wa kazi.
 
Hata kama katiba inasema mbunge aweze kusoma na kuandika na pamoja na hayo bado mtu yeyote anaweza kukosea kuandika taarifa zake au bahati mbaya.Mimi mwenyewe ktk cheti cha form 4 walikosea baraza badala ya kuandika jina langu Kibala wakaandika Kibalo ila nilipowasiliana nao wakarekebisha sasa tatizo nn?
 
tatizo sio elimu hapa..tatizo ni kua godbless lema hana personality ya kuongoza jimbo lenye hadhi kama hili la arusha...unaweza kusoma mbaka nywele zika nyonyoka ila ukakosa hekima..hana hekima kabisa.....mie nimemuona kwa macho yangu nilipo kwenda kwenye kilio cha dada mmoja hapa arusha,wakati ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu kwa kupotelewa na msichana mdogo huyu lema akaingia kwenye nyumba yenye msiba.....alipo ingia unaweza sema petrol station inatembea,alikua ananukia breweries ya kutosha..huku watu wakiwa na huzuni kubwa,akasema "jamani msilie sana,ni swala la kuomba tu ili arudi tena dunia,haya jamani tumuombee afufuke"hiyo kauli iliwafanya ndugu wengine marehemu kutoka nje......sasa hii ni kutokua na hadhi ya uongozi!!!
 
Hapa hatutafuti hadhi ya jiji la Arusha. Hadhi sisi inatusaidia nini wakati maisha ni magumu. Pia hakuna uhusiano kati ya elimu na uongozi, maana hata wanaotutesa kwa kutuibia nao wamesoma. Katiba inasema uwe unajua kusoma na kuandika tu.
 
mimi na was was na uelewa wako wewe ulie post hii habari

nikuulize ukimaliza shule form 4 matokeo yakato mwezi wa 5 form 6 unaingia mwezi wa 8 so acha kuropoka ndugu yangu
 
STEPHEN MASATU WASIRA

Bariri Primary School Primary Education 1956 1959 PRIMARY
Nyambitilwa Middle School Primary Education 1960 1961 PRIMARY
Kisangwa Middle School Primary Education 1962 1963 PRIMARY
British Tutorial College O-Level Education 1964 1968 SECONDARY
American University Washington DC BA Economics & International Studies 1982 1986 GRADUATE
American University - Washington DC Masters of Public Administration (MPA) 1985 1986 MASTERS DEGREE
American University - Washington DC MA (Applied Economics) 1993 MASTERS DEGREE

Umeona kwamba amemaliza undergraduate 1986, lakini akawa ameanza Masters 1985! Sasa utajiuliza alianza Masters kwa qualification gani? Kimsingi ww ulitaka tuone CV ya Lema na sio academic qualifications zake!
 
hata kama una elimu gani kama haisaidii jamii wewe ni mjinga huna maaana yoyote mtoa mada unajua maana ya elimu wewe? elimu bora si kukaa darasani tu na kuchukua cheti si kweli na watanzania hatuiungi mkono elimu ya namna hiyo kabisa tunaangalia ni kwa kiasi gani ume transfer knowledge yako? si vyeti tu unaweza ukawa umesomea upishi ila kama haujui kupika itasaidia nini? kwahiyo kwa harakati zake lema ni zaidi ya AKINA professor mkullo na wengine wengi na baba ridhiwani ndo hakuna kitu kabisaa jamani taifa linaelekea pabaya tunaangamia elimu imegeuka kigezo cha utendaji wa kazi mbona wenye elimu ndio wala rushwa wakubwa mwangalie kuna vitu vingine huitaji gooogle kichwani ndio ujue ukweli jamani
 
tatizo sio elimu hapa..tatizo ni kua godbless lema hana personality ya kuongoza jimbo lenye hadhi kama hili la arusha...unaweza kusoma mbaka nywele zika nyonyoka ila ukakosa hekima..hana hekima kabisa.....mie nimemuona kwa macho yangu nilipo kwenda kwenye kilio cha dada mmoja hapa arusha,wakati ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu kwa kupotelewa na msichana mdogo huyu lema akaingia kwenye nyumba yenye msiba.....alipo ingia unaweza sema petrol station inatembea,alikua ananukia breweries ya kutosha..huku watu wakiwa na huzuni kubwa,akasema "jamani msilie sana,ni swala la kuomba tu ili arudi tena dunia,haya jamani tumuombee afufuke"hiyo kauli iliwafanya ndugu wengine marehemu kutoka nje......sasa hii ni kutokua na hadhi ya uongozi!!!

Kwenye misiba utani ni kitu cha kawaida sana,huwezi jua kama anautani na ukoo huo au anautani na kabila hilo.
 
wenye Elimu kubwa mbona ndiyo wezi wakubwa. Hata kama hajasoma watamchagua tena tu na safari hii ccm itajuuuuuta kurudia uchaguzi Arusha mjini maanake wanazidi kuongeza chuki ndani ya jamii dhidi yao. Mimi nakaa pembeni natazama huo mpambano maanake Arusha huwezezi mwambia mtu kuhusu CCM akakuelewa. Sijui watakuja na mbinu gani? Elimu nini bana sisi tunataka maendeleo tu na siyo vinginevyo
:rockon:
 
kwa ukweli kwenye hiyo CV sijauona utata wa kusoma miaka mitatu O Level kwani wapo wengi wamesoma miaka miwili O levl , Advance Mwaka Mmja na sasa ni maprofesa tusiwe na uvivu wa kufikiri. Nchi hii sawa tunahitaji elimu lakini na credibility ya mtu ni muhimu hata akiwa hajasoma.

nakuunga mkono kaka,mfano mimi mwenyewe niliajiriwa kama mwl daraja la tatu A,nikasoma mwaka mmoja A level nikajiunga na chuo kikuu,nikarudi kazini nika rudi tena kusoma degree ya pili na sasa nafanya Phd.kwahiyo wastahili kujua hivyo.
 
Mkuu you dont reflect any thinking,
Kwa hiyo tutawaliwe na mambumbumbu kama Lema na Lusinde?
Mchagueni awaendeshee chama chenu mnufaike na street university yake
Umbumbumbu huko huko kwenu.
Juzi tu tumeona umbumbumbu wa Lusinde, twaenda shule za nini?

Majimarefu
 
If he can deliver education comes afterwards!
We have some with PHD but acting like Pupils!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom