Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,888
- 32,291
Kaka hili changa la macho, credit zake za form IV hazimruhusu kugusa MLIMANI, hata kuwa mfagiaji wa mabweni hawezi, ni udhalilishaji kusema lema kasoma MLIMANI na uombe msamaha.
Mkuu, mie sijasema hivyo ebu nisome vizuri mie niliambiwa na Pro-Chadema mmoja humu JF ndio maana nikauliza.