Jamani Hivi Elimu inayotolewa humu nchini kwetu na hiyo ya nje ipi ni bora?
Inategemea na nje ni nchi gan..bt me m2 aliyesoma india na malaysia haniwezi kwa lolote na elimu yangu ya kibongo bongo..flag natoa kwa graduates frm USA,UK na canada.
Jamani Hivi Elimu inayotolewa humu nchini kwetu na hiyo ya nje ipi ni bora?
Nchi za nje hasa sa bara la marekani, ulaya na aisia, mbali na africa!
<br />Sio kweli kwamba chuo kikuu bora kwa Tanzania ni UDSM, Kwani ubora wa chuo huwa unategemea zao linalotolewa na hiyo RANK uliyoitoa ulifocus kwenye nini? je ubora wa elimu? umri wa chuo? mazingira ya chuo? au umetumia vigezo gani? msipende kusikiliza mawzo ya wanasiasa kwenye swala la elimu hapa kwenye taifa letu.<br />
MBONA MAFISADI WENGI WAMESOMA UDSM??????? SASA JE UBORA WA HICHO CHUO NI NINI???? <br />
Kwa upande wangu mimi naona chuo kikuu bora hapa ketu ni SUA, na kwa upande wa elimu ya nje na ya ndani huwa mimi naona elimu ya ndani ya taifa lako huwa ni bora sana kwa kianzio (graduates) kwani wapo watu ambao wamesoma vyuo vya nje ambavyo hata TCU bado haivitambui.
Sio kweli kwamba chuo kikuu bora kwa Tanzania ni UDSM, Kwani ubora wa chuo huwa unategemea zao linalotolewa na hiyo RANK uliyoitoa ulifocus kwenye nini? je ubora wa elimu? umri wa chuo? mazingira ya chuo? au umetumia vigezo gani? msipende kusikiliza mawzo ya wanasiasa kwenye swala la elimu hapa kwenye taifa letu.
MBONA MAFISADI WENGI WAMESOMA UDSM??????? SASA JE UBORA WA HICHO CHUO NI NINI????
Kwa upande wangu mimi naona chuo kikuu bora hapa ketu ni SUA, na kwa upande wa elimu ya nje na ya ndani huwa mimi naona elimu ya ndani ya taifa lako huwa ni bora sana kwa kianzio (graduates) kwani wapo watu ambao wamesoma vyuo vya nje ambavyo hata TCU bado haivitambui.
<br />Mkuu kabla sijatoa suggestion zangu kwanza nijue wewe unacompare elimu ya bongo na ya nje katika level ipi? Chekechea, msingi, O level, A Level, Undergraduate, Postgraduate au PHD level? be specific mzee.....