Hamza Nsiha
JF-Expert Member
- Jul 25, 2022
- 208
- 191
Ndugu, wanaJamiiForums nimatumaini yangu mu bukheri wa afya. Leo ningependa kuwashirikisha katika mjadala huu juu ya masuala mbalimbali ambayo yameshamiri kwa kiasi kikubwa kiasi kwamba hakuna tena mtu ambaye anajaribu kuweka jitihada katika kukemea masuala hayo.
a) Mpaka sasa, kuna ongezeko kubwa la watu wanaoshiriki ngono za jinsia moja (gay and lesbian)
b) Uraibu wa kuangalia filamu za ngono (ponographic contents)
c) Michezo ya kujichua. ( masturbation)
d) Shughuli hatarishi za kingono (prostitution)
Ukweli ni kuwa, mambo haya yameonekana kama mambo ya kawaida. Mfano mzuri ni kuhusu ripoti ya BBC iliyosema kuwa nchi nyingi zenye sheria ngumu dhidi ya vijana kutojihusha na ngono mpaka pale watakapoingia katika ndoa, ndizo zilizoonesha kuwa na idadi kubwa ya watu wenye uraibu wa kuifuatilia maudhui ya picha au video za ngono.
Mpaka sasa, hakuna tafiti za kisayansi zilizokamilika kuhusu madhara ya kujichua au kupiga punyeto, zaidi tu wataalamu wanasema punyeto haina madhara endapo haitoathiri shughuli za kila siku za mtu anaefanya jambo hilo.
Pia, makundi ya watu wa jinsia moja kila siku yanazidi kushamiri hadharani lakini bila kusahau kuna wengine wengi ambao hufanya mambo haya kwa siri kwani pindi mtu na mwenza wake wanapokuwa chumbani hakuna mtu ataefahamu vitu vitakavyofuata.
Je, unahisi watu wanaofanya hivi hawajui kama ni mambo yasiyokubalika katika jamii?
La hasha yote hayo wanafamu na hata wengine wanaamini kuwa ni dhambi kwa mujibu wa imani zao.
Hivyo, kwangu ninaona elimu juu ya afya ya uzazi ni mkombozi mkuuJe, kwako unahisi nini kingine kinaweza kusaidia katika mambo haya? wa yote haya.
Je, kwako unahisi nini kingine kinaweza kusaidia katika mambo haya?
a) Mpaka sasa, kuna ongezeko kubwa la watu wanaoshiriki ngono za jinsia moja (gay and lesbian)
b) Uraibu wa kuangalia filamu za ngono (ponographic contents)
c) Michezo ya kujichua. ( masturbation)
d) Shughuli hatarishi za kingono (prostitution)
Ukweli ni kuwa, mambo haya yameonekana kama mambo ya kawaida. Mfano mzuri ni kuhusu ripoti ya BBC iliyosema kuwa nchi nyingi zenye sheria ngumu dhidi ya vijana kutojihusha na ngono mpaka pale watakapoingia katika ndoa, ndizo zilizoonesha kuwa na idadi kubwa ya watu wenye uraibu wa kuifuatilia maudhui ya picha au video za ngono.
Mpaka sasa, hakuna tafiti za kisayansi zilizokamilika kuhusu madhara ya kujichua au kupiga punyeto, zaidi tu wataalamu wanasema punyeto haina madhara endapo haitoathiri shughuli za kila siku za mtu anaefanya jambo hilo.
Pia, makundi ya watu wa jinsia moja kila siku yanazidi kushamiri hadharani lakini bila kusahau kuna wengine wengi ambao hufanya mambo haya kwa siri kwani pindi mtu na mwenza wake wanapokuwa chumbani hakuna mtu ataefahamu vitu vitakavyofuata.
Je, unahisi watu wanaofanya hivi hawajui kama ni mambo yasiyokubalika katika jamii?
La hasha yote hayo wanafamu na hata wengine wanaamini kuwa ni dhambi kwa mujibu wa imani zao.
Hivyo, kwangu ninaona elimu juu ya afya ya uzazi ni mkombozi mkuuJe, kwako unahisi nini kingine kinaweza kusaidia katika mambo haya? wa yote haya.
Je, kwako unahisi nini kingine kinaweza kusaidia katika mambo haya?