Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,881
- 122,124
Kati ya awamu zote za serikali ya JMT zilizopita, Awamu ya Tano ni Serikali iliyojaa viongozi wenye viwango vikubwa vya Elimu kuanzia Maprofesa, Madokta na wengineo katika nynja zote za Uongozi.
Hii ni serikali ya viwanda ambacho ndio kipaumbele kikubwa awamu hii
Mbali na kuwa na Viongozi wengi wenye Taalumu za juu lakini hadi sasa bado hatujaona matunda yake japo kuanza kuyanusa au kuona dalili zake, Sijasikia au kuona kiwanda chochote au ubunifu wowote wenye sura ya kuzaa kiwanda
Je nini tatizo? Viongozi wetu wenye hizi Taaluma sio wabunifu?
Je hawana Uzalendo katika Taifa lao? Nini kifanyike kama Taifa ili kufikia Tanzania ya Viwanda.
Hii ni serikali ya viwanda ambacho ndio kipaumbele kikubwa awamu hii
Mbali na kuwa na Viongozi wengi wenye Taalumu za juu lakini hadi sasa bado hatujaona matunda yake japo kuanza kuyanusa au kuona dalili zake, Sijasikia au kuona kiwanda chochote au ubunifu wowote wenye sura ya kuzaa kiwanda
Je nini tatizo? Viongozi wetu wenye hizi Taaluma sio wabunifu?
Je hawana Uzalendo katika Taifa lao? Nini kifanyike kama Taifa ili kufikia Tanzania ya Viwanda.