Elimu tanzania haina jipya maafisa Elimu wa bovu mkoani na wilaya

Apr 9, 2012
78
8
Elimu ya tanzania imedumaa na isiyo na mabadiliko siku hiz iki masomo vijana wa form one wanaenda mashuleni bila kujua kusoma ajabu sana hii elimu ni duni kwelikweli lakini ukweli maafisa elimu wamekalia majungu na sio utendaji na hata kupanga waalimu wa kike vituo vya kufundisha kwa ngono yaani anayemukubali kimapenzi afisa elimu anapelekwa eneo zuri hivyo kesho akimwendea afisa elimu anataka asifundishe anapumuzika wiki 6 anaruhusiwa hii pia ni madhara kwa elimu yetu baya zaidi maafisa elimu wanakaa eneo moja miaka hata 2o sehemu moja sasa ni kweli hawezi leta mabadiliko kabisa ya kielimu mfn afisa elimu mbeya juma kaponda amekaa mbeya miaka 20 hivi ataleta mabadiliko gani kielimu kama siyo kugeuka mwanasiasa nimewahi shuhudia live akiwatukana wenyeji wa mbozi magharibi tarafa ya msangano kuwa wenyeji wa kule wana mtindio wa ubongo na ndio maana ni wa chawi na hawata kaa wa badilike kielimu sasa afisa elimu wa namna hiii ataleta mabadiliko gani we ,kawambwa waziri elimu mbona unasinzia hamisha maafisa elimu hawa ili kuleta mabadiliko ya maendeleo ya elimu
 
Nafasi ya uafisaelimu nchi hii ni nafasi ya kisiasa.Kama wewe siyo mwanachama wa sisiemu,haujuwi kujipendekeza,sahau kabisa kuukkwaa uafisaelimu.Ni kweli pia maafisaelimu wengi sana wanawanyanyasa sana walimu wa kike kwa kuwalazimisha kufanya nao ngono.Hii inakuwa rahisi sana kwao kwani walimu hao hutishiwa kupangiwa maeneo ya mbali na mjini,kwa kuogopa hivyo basi hujikuta wanakuwa chakula cha wakubwa.
 
Back
Top Bottom