Said maneno
Member
- Aug 2, 2011
- 38
- 2
Hakika wengi 2lichangia na kufurahia kauli mbiu ya kufanya ELIMU KUWA UWEZO NA SI CHETI,sasa kwanini wengi mnalaumu waliopata dvs3 kupata mkopo na wale wa divs 1 kukosa,TUTAFuTE NJIA YA KUTATUA TATIZO NA SI KULAUMU PASINA MAANA.MANENO MENGI NA MWISHO WA SIKU WALIOKOSA WANAISHIA patupu.NA KINGINE SI AJABU NA SISI WANAFUNZI HATUKUWA MAKINI KTK UJAZAJI NA UOMBAJI WA MIKOPO MANA M2 kapata medicene na wote wanapata 100 lkn ye kakosa je nani alaumiwe.