Elimu ni kipaombele cha sita.

juniormuk

Member
Aug 12, 2012
18
3
Waziri wa fedha kasema elimu ni kipaombele cha sita,je elimu ikiendelea kushauka ni nani wa kulaumiwa? Nashauri wananchi wailaumu serikali na si walimu. Poleni watanzania.
 
Back
Top Bottom