KIMOMWEMOTORS
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 358
- 670
SABABU ZA GARI KUCHEMSHA
1. Kuvuja kwa mfumo wa upoozaji
2. Kuziba kwa njia za rejeta
3. Kiwango kidogo cha Oil
4. Tatizo la pampu ya maji
5. Tatizo katika feni za kupoozea injini
ISHARA ZA TATIZO
1. Mshare wa joto kupanda zaidi ya nusu
2. Moshi au mvuke utokao chini ya gari yako
3. Hewa yenye joto kutoka kwenye njia za AC
1. Kuvuja kwa mfumo wa upoozaji
2. Kuziba kwa njia za rejeta
3. Kiwango kidogo cha Oil
4. Tatizo la pampu ya maji
5. Tatizo katika feni za kupoozea injini
ISHARA ZA TATIZO
1. Mshare wa joto kupanda zaidi ya nusu
2. Moshi au mvuke utokao chini ya gari yako
3. Hewa yenye joto kutoka kwenye njia za AC