nirushie akaunti namba leo si unajua tarehe 25 mshahara tayar baba watotoSawa wife nimeelewa tutaongeza matunda hapo na mbogamboga...sasa usisahau kwenda kumalizia ile ada maana mwalimu mkuu amenipigia simu hapa nukumbushia🤣🤣🤣🤣🤣
nirushie akaunti namba leo si unajua tarehe 25 mshahara tayar baba watotoSawa wife nimeelewa tutaongeza matunda hapo na mbogamboga...sasa usisahau kwenda kumalizia ile ada maana mwalimu mkuu amenipigia simu hapa nukumbushia🤣🤣🤣🤣🤣
Mie ndio nakupendea hapo wife. Usjali nitakutumia...alafu cheki mpesa yako kanunue nguo sexy na kyupi mpya leo nina hamu na wewenirushie akaunti namba leo si unajua tarehe 25 mshahara tayar baba watoto
Asante mme wangu, Mungu akuongezee zaidi na zaidi. ntakupikia chakula kitamu sana unachokipendagaMie ndio nakupendea hapo wife. Usjali nitakutumia...alafu cheki mpesa yako kanunue nguo sexy na kyupi mpya leo nina hamu na wewe
WASOME WAPATE ELIMU YA UZAZI NA MALEZIKwa hiyo jamii iache kusomesha watoto wao wakike kabisa au siyo ?
For the matter of emphasis au siyo?!
Akili za kipumbavuUzi kama huu unahitaji sana falsafa za uislam
Mwanamke kazi yake ilikua ni kupigwa miti na kuwa msaidizi kwa mwanaume kwenye mambo madogo madogo sana
Mwanamke ni kaumbwa kuipamba dunia, leo hii mwanamke ni mpiga debe na konda wa daladala za mbagala
#Mandown
Hahaah huyo anaonekana ana stress nyingi sana maana huwa anashinda hapa JF hakuna siku nimeingia Jukwaa la Mahusiano na urafiki nimkoseTumekusikia mkuu...ni ukwel ambao wengi hawataki kuuskia....kwa hyo unataka kunambia huyu jamaa kwa jina la Carlos Jackal anaendeshwa na mke ila anaona sehem ya kujifarij ni hapa JF maana mara nying anajifanya ana uwezo wa kuhandle mwanamke aliemzidi kipato na elimu
Unazani hata walio olewa wao si hawana upweke? Sema wanawake wakishakuwa watu wazima wanavumilia maronya ronya ya waume zao, na wasio na chochote huvumilia kwasababu hawana pakwenda.Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda hua wapweke sana, na huwajaza sumu wanamake wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.
Sijajua kuhusu hao wanawake wengine uliowa-tag.Ili mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.
Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha
Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.
Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.
Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.
=====
Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!
Ni kweli kabisa, mtu anamnyanyasa mkewe kisa hana kazi na hata hawezi fanya lolote,na unakuta mme mwenyewe hajielewi ni muda gani anatakiwa kuwa Mme ubabe tu na ukiona mwanaye anawivu kupitiliza utasikia unakosa nini tambua kabisa ni dhaifu anajihami wasimchapie huko!Ndo maana walitusomesha ili tusinyanyasike....mimi bibi yangu hana sikio moja mpaka sasa alimfuma babu na kimada akazira hakupika skan babu kurudi anakuta msosi tee eti bibi kajinunisha alilambwa panga la sikio
Hata huko alikolala Mungu anamsuta, huwa wanajitoa ufahamu na kujiona wanamkataba na MunguChenye hasara hakikosi faida MKUU. Nimeshudia kisa Cha kwel ktk hili. Mume alikua na kila kitu na alimwachisha make Kaz. Make akawa wa nyumban tu. Kila ktu anapewa. Mume akafa gafla. Na yule mama alikua hajui ktu chochote kwenye mirad.
Baada ya Ile hali make akaanza kusimamia mirad. Na mda si mrefu mirad ikafa yote. Mama akaanza kuish maisha ya shida sana. Lakn kama make angekua kazn angetunza watoto vzr
Ila watoto wao wakike wanawapeleka shule!Hamutaki tufanye kazi lakini hamutaki kutuonea huruma!
Na maranyingi huwa ni akili, ndiyo maana walisema wanaume ishini na wake zenu kwa akili sasa wengi wanatumia nguvu na ubabe.Japo tumetukanwa humo....ila ndio hivo, mwanamke akikuzidi akili na kipato umekwisha!!!
Nawewe huyo mzazi mwenzio kwanini haukumuoa? Kwahiyo unamnyanyapaa wakati na wewe kuna uliye mwacha huo ni ubinafsi mkubwaUko sahhi sijaoa ila Nina mto wa kike ingawa siwapendi wanawake wenye elimu kubwa kubwa
Kuna demu mmoja Ni advocate Ni single mam siku moja akanimbia Mr goroko Kwan nn usinioe tulehe mtot wako na wangu kwa pmj Mr goroko kidogo nidondeke hapo nikitazam tu maongezi yake nikataa tamaa sna to much knows ndio maana akaachiwa mtot siyo kwa bwebwe hzo nikasema moyoni Yule mwanume siyo buree akaingia mitini
Tena hapo penye kusaidia wazazi utasikia sijaoa ukoo wala familia nimekuoa wewe, sasa kila mtu ajikune pale mkono unapofika si kutumia kijitiNyenye nyenye nyenye mnaongea tu vitendo ziro utaweza kusomesha wadogo zangu wewe ukahakikisha wanapata mahitaji yote wengine kwetu hakuna wasomi wala wenye hela mzazi kaangaika kunisomesha ili ata niwasaidie kwa chochote
Afu uje useme niache kazi niwe mama wa nyumbani utahudumia wewe wazazi wangu
watu wenyewe mkipata vihela mnawaza muongeze wanawake upuuzi
wanawake waliosoma wataolewa na wasomi wenzao na wanawake wenye kazi wataolewa na wanaume wanaojitambua wenye kazi pia
Halafu wakati huo kazi za ndani anafanya nani mkuuYaani wewe unapata mara mbili zaidi ya gu alafu wewe baadala ya kubeba jukumu la ada na kodi unachukua hilo la chakula typical female behaviour!
Inaweza kuwa wangekufa wote wakaacha watoto so unataka kusema kuwa maisha yasingeelea mwanaChenye hasara hakikosi faida MKUU. Nimeshudia kisa Cha kwel ktk hili. Mume alikua na kila kitu na alimwachisha make Kaz. Make akawa wa nyumban tu. Kila ktu anapewa. Mume akafa gafla. Na yule mama alikua hajui ktu chochote kwenye mirad.
Baada ya Ile hali make akaanza kusimamia mirad. Na mda si mrefu mirad ikafa yote. Mama akaanza kuish maisha ya shida sana. Lakn kama make angekua kazn angetunza watoto vzr